Mtoa mada umeshindwa kuelewa kitu kimoja, AZAM MEDIA hausiki kwa namna yoyote yeye makubalino yake na mkataba wake na TFF ni kuonyesha mashindano ya NBC PREMIER LEAGUE ambayo SIMBA naye ni mshiriki. Mhusika wa makosa hayo ni viongozi wote wa SIMBA SC ambao wao ndio wenye mamlaka na ndio...
Kwa sisi wakongwe tutakwambia Shaggy..
Ila kwa watoto wa juzi watakwambia Sean Paul mkali yaani ni kama Bob Marley kumlinganisha na Luck Dube
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Nimeskia wafanyakazi wa TANESCO wamefanya sherehe kuondolewa kwa mkurugenzi wake bwana MAHARAGE CHANDE.
Kwa ishara hii huku kwetu Tanzania inaonekana kabisa jamaa alikuwa mchapakazi.
Maana watumishi wengi wa serikali ni wavivu, akitokea mtu wa kuwapeleka mwendo wa ngiri mkia juu siku akiondoka...
"Cha kushangaza hao wamatumbi pembeni yake wanakenua mimeno tu huku jamaa akiwaibia rasilmali zao Kwa wingi dhahabu, magogo na almasi."
Africa bara langu...... Wazungu tunawaona wezi na wanyonyaji, Waarabu tunawaona wanyonyaji na wabinafsi.
Na wanaotuaminisha hivyo ni haohao wanaowapokea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.