nasubiri kwa hamu aje akanushe Kaka sio kitu unaweza kukitungia uongokama unavyofikiri ili nipate faida gani, au sifa gani kuna vit vinaumiza kwenye mahusiano
Husninyo mzizi wa tatizo nitaeleza siku nyingine sio leo, na hata nikieleza watasema wanataka upande wa pili, leo nimetoa hili kwanza mamii nahitaji msaada waq mawazo tu
usilolijua ni sawa na usiku wa giza, alishawahi kuwachukua watoto na kuwapeleka nisikokujua miaka miwili, nilipeleleza nikajua wanakosoma nikaenda ile shule HM akaniambia wale watoto hawana mama yule bwana alimweleza mama yao alishakufa, baadaye watoto walimsumbua alinifuata akanikabidhi watoto...
unaelewa nilichokiongea au unaanza tu mashambulizi nimekuudhi na nini, una ona raha mtoto kukosa nafasi ya kusoma kwa ajili ya tu baba ana chuki dhidi ya mama?
EMT nisingeandika namba yake ningeambiwa nina dharrau kama wachangiaji wengine wanavyosema, nimeandika pia ameamua kukomesha kwa makusudi, ila kwa hili nimejifunza kitu Kaka ninge mara nyingi huwa inakuja baadaye
kuachana sio sababu ya kumtesa mtoto ugomvi wetu sisi usingemwingiza mtoto ambaye hana hatia wala hakuomba azaliwe, huwezi ukasema kila kitu maana sindano inavyouma anajua uchungu wake yule aliyechomwa nayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.