Asante mkuu kwa ushauri mzuri, kwanza kwa kuchukulia mkopo kwa kutumia hili eneo langu hapana mkuu, nyumba na eneo ina zaidi ya thaman ya 250M kuchukulia mkopo kwa ajili ya kitu cha 5M ni ngumu, kwa elimu yangu ya mambo ya mikopo pamoja na changamoto ya marejesho kwa sasa siwezi kuweka rehani...
Changamoto inayonikabili mimi ni upungufu wa mtaji, na mtaji nilio nao mm ni Eneo zuri maeneo ya Mwenge DSM, nahitaji mtu ambae tutawekeza pamoja, Habari niliyoifikia mm ni ufugaji wa kuku wa nyama, kama tutatengeneza mabanda tunaweza kufuga kuku zaidi ya 1500, eneo lina ukubwa wa zaidi ya...
Changamoto inayonikabili mimi ni upungufu wa mtaji, na mtaji nilio nao mm ni Eneo zuri maeneo ya Mwenge DSM, nahitaji mtu ambae tutawekeza pamoja, Habari niliyoifikia mm ni ufugaji wa kuku wa nyama, kama tutatengeneza mabanda tunaweza kufuga kuku zaidi ya 1500, eneo lina ukubwa wa zaidi ya...
Changamoto inayonikabili mimi ni upungufu wa mtaji, na mtaji nilio nao mm ni Eneo zuri maeneo ya Mwenge DSM, nahitaji mtu ambae tutawekeza pamoja, Habari niliyoifikia mm ni ufugaji wa kuku wa nyama, kama tutatengeneza mabanda tunaweza kufuga kuku zaidi ya 1500, eneo lina ukubwa wa zaidi ya...
Habari Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Makonda hakika mara kadhaa tumeona juhudi zako juu ya jiji letu pendwa.
Umekua mtetezi wa wanyonge na wasiojiweza hapa jijini pia na mikoa mingine ya Tanzania, ila ni muda mrefu sasa wananchi wa jiji lako tumekubwa na adha kubwa ya usafiri wa mabasi...
Wakuu nahitaji gari aina ya IST, Passo au Spacio, namba D itapendeza zaidi ofer itatokana na gari mana najua hizo hapo juu zinatofautiana bei, pia kama kuna ambayo kati ya hizo haijasajiliwa bado nikasajili kwa jina langu itakua poa! pia hata kama ni ya Yard bei ikiwa nzuri nitanunua.
Nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.