Habari wakuu,
Natafuta soko la uhakika la mayai ya kienyeji pure kwa dodoma jiji. Ninauza tray 17,000. Pure kienyeji.
Karibuni sana.
Ninapatikana Dodoma Mjini.
bora umeme....mimi nilienda kufanyiwa translation ya vyeti. yaani wino umefaint, maandishi hayaonekani kabisa....niliumia roho na wakati nimetoa 30 elfu kwa kila cheti. inaumiza kiukweli.....huduma mbovu mbovu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.