Search results

  1. munkango

    Nchi za Afrika zinazotembelewa na watalii kwa wingi

    Tanzania kodi ya Utalii iko juu sana. Wakati fulani nilipanda mlima Kili na nilipata wasaa wa kuzungumza na wageni mbalimbali, wengi walisema kodi ya, hapa sio rafiki.
  2. munkango

    Je, ni wakati sasa kwa serikali kuanza kupunguza mzigo wa kodi kwa Wananchi?

    Makusanyo kwa mwezi hayawezi kuwa bilioni 2, ni ndogo sana kabda ulitaka kumaanisha Trillioni 2?
  3. munkango

    Kinachofichwa ni hiki, umeme ni tatizo kubwa kuliko tunavyoambiwa

    Tatizo Viongozi hawataki kueleza ukweli.
  4. munkango

    Nazeeka kwa kasi ya ajabu mno. Nifanye nini?

    Fanya mazoezi, Tembea au kimbia x 3 kwa wiki angalau jumla 15km Piga push up, squart, jumping jack, stretching Pata jua la asubuhi kwa ajili ya Vitamin D Pata supu ya kongoro japo mara 4 kwa wiki Pata usingizi wa kutosha katika mazingira yenye ubaridi Punguza stress Practice Pranic yoga...
  5. munkango

    Esther Bulaya: Sirro arudishwe aje kupambana na hali yake!

    Salim Ahmed Salim alipata kuwa Balozi akiwa na miaka 22, vijana wapo tele wenye uwezo
  6. munkango

    Suala la DP World nahisi bado naota. Ni kweli kabisa Viongozi wetu waliukubali mkataba wa hovyo kama huu?

    Hatuna Wataalamu wa Majadiliano(Negotiators) Rais Kikwete Kuna muda aliwahi kukiri hili na kuomba nchi moja ya Ulaya isaidie kuwafunza Watanzania namna ya kujadiliana mkataba. Kuwa Mwanasheria nguli kama Profesa Kabudi Bado hakukupi ujuzi na Sanaa ya kufanya majadiliano, matokeo yake ni mkataba...
  7. munkango

    Ujinga ni tatizo kuu hapa Tanzania

    Kuna kitu muhimu katika uzi wako umekiacha tena kwa makusudi. China hawakukaribisha Wawekezaji tu bila kuangalia Maslahi yao. Kitu cha kwanza walisomesha vijana wao na kwa hiyo Wawekezaji walipoenda China kulikuwa na sharti la kuajiri vijana wao. Vijana walioajiriwa walipopata mitaji...
  8. munkango

    Huu mwaka 2023 kuna watu bado wanamsikiliza Issa Shivji?

    Kama ni hivyo tungeanza na Serikali kabisa, tutafute mwekezaji wa kuiendesha
  9. munkango

    Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi

    Nyerere hakuipenda Ikulu ya Mkoloni na ndiyo maana alikuwa akilala Msasani
  10. munkango

    Ndoto ya Hayati Magufuli ilikuwa kujenga Ikulu kubwa kuliko zote Duniani, Rais Samia ameikamilisha kwa upendo mkuu!

    Kitendo cha kutumia sanifu (design) ya Ikulu ya Waingereza ya mwaka 1922, ilikuwa ni kosa la kiufundi katika karne hii.
  11. munkango

    Upangaji wa Makao Makuu Dodoma. Nani aliamuru Ikulu izungukwe na Makazi ya Watu?

    Usanifu nao ni hoja, si sawa kujenga ofisi kuu ya Serikali katika karne hii kwa sanifu ya Seraseni ya mwaka 1922. Tunashauriwa kutunza majengo ya zamani, lakini katika ujenzi mpya ni vema kuangalia wakati wa Sasa na ujao
  12. munkango

    Upangaji wa Makao Makuu Dodoma. Nani aliamuru Ikulu izungukwe na Makazi ya Watu?

    Jengo lenyewe la Ikulu usanifu kama wa lkulu ya Magogoni, inasikitisha na hii ni athari ya "Mamlaka ya Rais". Pia Jengo la Bunge Kuna uhaba mkubwa wa nafasi kabisa wakati Dodoma haina uhaba wa ardhi.
  13. munkango

    Maswali ya kisiasa yenye kuhitaji majawabu yake

    Hakuna namna ya Kuvunja Muungano, si kwa katiba ya Muungano wala Mkataba wa Muungano. Sababu zilizopelekea kuwepo kwa Muungano ni nyingi baadhi ni kama ifuatavyo:- Mosi ni Shauku ya Nyerere juu ya Afrika moja, Pili ni hofu ya Karume juu ya kuatamia mamlaka ya Utawala wa Zanzibar, Tatu ni...
  14. munkango

    Shaka kulikoni? Kaboronga ama kagusa maslahi ya wenye nchi?

    Shaka alikuwa tafsiri halisi ya "Chawa wa Mama". Chama kinahitaji mtu anayeelewa Itikadi na si kumsifia Mama tu Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
  15. munkango

    Kwa kugawa wanyama wetu tumeuza upekee wetu. Tumebaki na nini?

    Mambo mengine yanaudhi mpaka mtu unatamani kulia. Mwalimu alikuwa ameacha madini ili baadae yaje kuchimbwa wakati tunaweza kupata faida iliyo stahiki. Matokeo yake sasa, madini yamechimbwa na tumeachiwa mashimo na hakuna cha kujivunia Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
  16. munkango

    Kwa kugawa wanyama wetu tumeuza upekee wetu. Tumebaki na nini?

    Mambo mengine yanaudhi mpaka mtu unatamani kulia. Mwalimu alikuwa ameacha madini ili baadae yaje kuchimbwa wakati tunaweza kupata faida iliyo stahiki. Matokeo yake sasa, madini yamechimbwa na tumeachiwa mashimo na hakuna cha kujivunia Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
  17. munkango

    Mwana Mapinduzi John Okello

    Ni kweli, Uhuru wa Tanganyika inaonekana Nyerere pekee ndiye aliyeupigania, kama ilivyo kwa Mapinduzi ya Zanzibar Karume ndiye ameandikwa kama Shujaa katika Historia Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
  18. munkango

    Mwana Mapinduzi John Okello

    Asingekubalika bila shaka asingeongoza Mapinduzi. Mimi nadhani Karume na Nyerere walimuogopa. Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
  19. munkango

    Mwana Mapinduzi John Okello

    John Okello ambaye aliongoza Mapinduzi ya Zanzibar alizaliwa mwaka 1937 huko Uganda katika kabila la Langi ambalo pia ni la Rais wa Zamani wa Uganda Milton Obotte. Alizaliwa akiitwa John Gideon Etuku. Wazazi wake walifariki Akiwa bado mdogo na kulazimika kwenda kulelewa na mjomba wake pamoja na...
Back
Top Bottom