Hivi kwani Serikali ina mpango gani wa kuwalipa makarani wa Sensa salio lao baada ya kazi?Tumekubali kufanya siku saba za kizalendo sasa pesa iliyobaki inakuwaje?Sio usanii na uzembe uliosemwa na Mnyika huu?Tunaelekea kuchoka kusubiri.
Jamani mwenzenu nimemaliza Chuo mwaka jana mwezi wa 7. Nahitaji ajira inayohusiana na Law, Administration, Customer care, Policy Advocacy, Human Resource n.k. Anayeweza kunisaidia tafadhali namba 0683777792. Tusaidiane tusitupane wapendwa.
Natafuta kibarua,nimetembeza CV mpaka viatu vimeisha sole.nimesoma law UDSM,ni male,nina umri wa miaka 27.Naweza fanya kibarua chochote chenye mshahara wa angalau 400000 kwa mwezi.nisaidieni kwa number 0683366196/0712815071.Mungu awabariki.
Jamaa zangu,mimi ni graduate.natafuta kazi ya kuanzia maisha mtaani yenye mshahara angalau wa sh.300,000/= kwa mwezi.anayeweza kunisaidia call 0712815071 au 0767815071 NIMESOMA LAW,UNIVERSITY OF DAR,UMRI MIAKA 26,NIPO DAR,NA NI MWANAMME.
Juzi nikiwa natizama kipindi cha daladala kinachorushwa na itv kila siku saa moja jioni.kuna tetesi mh. J.mnyika umechukua ela kutoka kwa magari ya maji taka ili yaendelee kumwaga maji taka hayo katika mabwawa ya kiwanda cha urafiki yaliyopo mabibo.je tuhuma hizi zina ukweli?tujulishe wapiga...
asanteni sana,jina mashuhuri sana ila alikuwa amenitoka kidogo. mawazo mazuri sana, yanatoa ufumbuzi kwa maswali mengi. Naskitika hayawezi kufanyiwa kazi ila thanx God ujumbe utakuwa umefika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.