Naona asiende Bali hiyo hela ya kugharamia safari ikafanyie ukarabati shule za ruvu, kibiti, kilosa na ifakara zote za sekondari zilizojengwa na watu wa CUBA miaka 1970s
Mkuu kwenye andiko lako umesema kuna shule za upili zipatszo 30's ikiwa na maana kuwa shule za sekondari? Kama ndivyo umekosea, Pangani ina shule za sekondari za serikali saba tu (7) na shule mbili za mashirika ya dini na moja ni ya jumuiya ya wazazi.
Kweli kuna marafiki zangu nao waliiambiwa wanadaiwa na hii bodi tena wa diploma ila wakafuatilia huko bodi ya mikopo wakapewa barua ya kupeleka kwa mwajiri ndo wakatolewa kwenye makato. Nawe jitahidi kufuatilia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.