Kwakuwa ID yangu inasadiki maisha yangu ambayo nimeamua kuyaonyesha JF.
Nadhan, Na kwa msaada wa wadau wengine ambao wanaweza kutoa matukio yao yaliyowatokea/yanayotokea bar hasa yanayohusiana na Bia, mapenzi au mengineyo (hata ambayo hayahusiani kwa pamoja) ili tupeane matukio.
Lengo ni...
Ni matumaini yangu mko salama.
Leo nimefikiria kitu, na nadhani pengine kina ukweli au ni mimi tu ndio naona hivi. Ningepata ukiri wa watu wawili watatu ningeshukuru na kujua kama ni ukweli au lah.
Ni hivi:
Mimi nadhani jinsi mwanamme/mwanamke anavyokuwa na mapenzi na wanawake/wanaume wengi...
Long time sijaonekana huku.
Anyway.
Sikuhiz nimekuwa na addiction ya kuangalia Status za watu whatsapp.
It's amaizing kwa sababu unaweza jua moods na vitu ving kuhusu watu kwa kupitia hivyo.
Kuna watu wa karibu nawajua na kiuhalisia watu weng wanawaona kabisa Kuwa sio Wema/wanafiki/hawana...
Habari Zenu,
Nahitaj kujua njia za Asili za kuzindika Biashara bila kwenda kwa waganga..
Biashara ilisimama vizur kwa miez miwil nyuma ila gafla hela ikawa inapotea, tukaweka mfupa wa kitimoto na mkaa, hela tukaiona ila wateja wakapungua kwa asilimia 75. tunahis kuna kitu.
Tutaweka maji ya...
For Sale,
Toyota Harrier.
Model 2000
Km 148K
cc 2200
Ipo Dar es Salaam, Mbezi juu (Goba).
Asking price , 12 Mill, maongez yapo.
ina comprehensive insuarance inaisha mwakan July.
PM for more details.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.