Leo ni siku ya ijumaa, al hamdu liLlah nimesali pamoja na waislamu wenzangu, nasubiri muda wa iftar ufike kisha sala ya ISHAA then TARAWEEH inshaa Allah
Ila nitasikitika sana sana Ndugu zangu Waislamu wale ambao sala kwao sio muhimu ila Mpira kwao ndio kipaumbele na muhimu kuliko sala.
Je...
Naposema Waarabu wana roho nzuri, wana imani, namaanisha kweli!
Mara nyingi huwa nasema hakuna jamii hapa duniani watu wake wakarimu, wana imani na roho nzuri kama waarabu, namaanisha kweli. Wengi wao wamejaaliwa haswaa
Hizi clip zimetrend mitandao mingi, kwa wale wabaguzi, wenye chuki dhidi...
Ni mwandishi wa gazeti la Haaretz
Allah ajaalie ushindi kwa Ndugu zetu wapalestina
Moderator ,nawaombeni sana, msifute au kuhamisha nyuzi zangu, mmezidi sasa! Kila nikianzisha thread za maovu/uhalifu wa MAZAYUNI mnakimbilia kuuondoa au kuupeleka kwingine, leo nimeleta taarifa ya maovu...
Nimefurahi sana kwa ushindi wa jana wa Wydad Casablanca dhidi ya mamelodi, mafundi wa Morocco hao katika jiji la Casablanca, Wydad 2-1 mamelodi
Nisiwe mnafiki, Wydad na Raja Casablanca hawastahili kucheza mashindano ya Afrika, kwa wale wanamichezo na si mashabiki watakua wamenielewa, kwa wale...
Rais wetu, ifike mahala watu wa aina hii wakamatwe na kushikishwa adabu haraka
Napinga sana ubaguzi wa aina yoyote, udini na ukabila.
Mwenyezi Mungu akuongoze mama yetu, na Watanzania wote kwa ujumla...wale wenye chuki dhidi ya waarabu/waislamu mtambue kuwa mnachokifanya sio sahihi, na...
Safi sana Sheikh Muhammad Iddi, Allah akuhifadhi sheikh wetu.
GODBLESS LEMA , na wenzio wenye element za udini, ukabila na ubaguzi + chuki dhidi ya waislamu, jirekebisheni, narudia tena jirekebisheni.
Bhujiku ng'waka!
Hammaz
Mfanyabiashara maarufu wa Zanzibar na Mwanasiasa ambaye aliwahi kuwa Mwakilishi Jimbo la Uzini Mkoa wa Kusini Unguja, Mohamed Raza amefariki leo hii wakati alipokuwa akipatiwa matibabu, Allah amrehemu ndugu yetu huyu, na amuingize katika pepo.
Itakumbukwa May 09,2023 Rais wa Zanzibar na...
Allah amjaalie Mufti huyu afya njema na umri mrefu wa kuishi, Aamiin!
Museven, Mwenyezi Mungu akubariki, hakika upo 💪🏽 huyumbishwi na wamagharibi.
Moderator kwa hisani yenu, mmeshanifutia nyuzi zangu zaidi ya moja, nimeongea hamkunielewa, basi kwa leo nawaombeni muiache hii
Waabheja sana bhabhaa
Leo wahaini tunawatoa kamasi👇
Sisi wana Argentina wenye mpira wetu, leo ni leo, tuna jambo letu kuhusu Wafaransa wa asili na wahaini/Waafrika wale mahaters wa Morocco mliokua mnawatukana na kuwabagua waafrika wenzetu. Leo mtalia sana sana mbele ya wanaume wa shoka Messi na Jeshi lake.
Si...
Afrika itabaki kuwa Afrika tu, hususani hapa Tanzania. Nimefuatilia katika social media's za bongo, aise ni kama vile walikua wanatafuta vijisababu kutoka kwa hawa ndugu zetu Waarabu (Morocco) ili wapatiamo cha kusema/kuwatukana na kulialia.
Unakuta mwanaume mzima anawakandia wanaume wa...
Kila la heri Morocco team, wengine tupo nyuma yenu dhidi ya Portugal, wale maadui na wasiowapenda Morocco/waarabu haiwahusu mada hii.
Kila la heri ndugu zetu Morocco, tupigieni hao ndugu zao brazili warudi nyumbani kwao haraka kama ilivyo kwa croatia jana wamemfukuzisha kocha wao tite, leo ni...
👆
Rais wa FIFA, INFATINO👇
Maachallah, hakika Qatar imeuheshimisha Uisilamu,
Pindi itakapofika nusra ya Allah na ushindi, utawaona watu wakiingia katika dini ya Allah makundi kwa makundi, basi Sali na umtukuze Mola wako, hakika yeye ndie anaepokea toba! Allah atuongoze, Aamiin!
Sol de Mayo...
Nimeachana rasmi na vifurushi vya TIGO, nimerudi halotel japo ni wale wale kasoro jina tuu.
Halotel 1500 MB 750
Halotel 2000 GB1
Tigo 1500 MB 650
TIGO 2000 MB 800
N.k
N.k
In short hakuna mtandao wenye unafuu kwa sasa, ndugu zangu kama kuna mtu anajua mtandao wenye WIFI unlimited, na bei zake...
Mnasikia ninyi TIGO na mitandao mingine, msitufanye watanzania wapumbavu na wendawazimu, mnaendelea kupunguza vifurushi maanake nini!!! Tumewakalia kimya ndiomaana mnaendelea kufanya ambavyo wanataka.
Nasema hivi endeleeni tu kupunguza, kuna siku kitawaka, kama hamkuona ofisi zenu...
Aise, hii kitu ngeni kwangu, hata pasi moja!! It means walikua wanazurula uwanjani, aise siamini macho yangu kama nikweli🤣🤣 mpira umeisha kwa bao 3 kwa 0
Hongereni sana mafarao👏🏽👏🏽
Mlemhala bhabha? Habarini wakuu?
Timu za taifa ambazo sijawahi kuzipenda, na wala haitatokea nizipende abadan.
1 Israel
2 Brazil
3 USA
4 South Africa
5 England, though akikutana na hao wa4 nitashabikia England.
Klabu nisizozipenda ni,
1 Liverpool
2 Real Madrid
3 Man u
4 Chelsea
5 Arsenal
6...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.