Wananchi wanataka matokeo japo siamini kama mwenezi ni mtu sahihi huwa namuona kama bomu mda wowote linalipuka.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Maendeleo yataletwa siku tukijenga mifumo mizuri na imara ambayo itawajibika kwa kila mtu bila kujali chama, dini na kabila , mfumo wa siasa utawajibika moja kwa moja kwa mwananchi wa chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.