Sasa nimeamini ukiona janga lolote limetokea jua kuwa wapo watakao faidika.......walisema wataanza kutengeneza majengo ya taasisi za serikali,sasa sijui hzo pesa ztaishia huko zote maana zilkuwa nyingi
Jamani jamani condom zinazuia ukimwi kwa 100% mtumiaji akiwa na akili timamu........nimelala na wanawake wengi wa bar na wanaojiuza na wa mitaani wakubwa kwa wadogo,wake za watu,mabibi mpaka idadi kufikia 26 lakini nimepima ukimwi 2015 mwezi wa 8 ,nikajikuta nko fresh(negative)
Ni cheusi tii,afu ni kirefu kama kidole nilishangaa sana nilipokishika,na alivoona nashangaa akaniambia kuwa wanawake wengi wanavyo ila huwa wanavificha kwa kuviweka ndani ya uke,na kweli nilipotaka kuanza kumgegeda alikiingiza kwa ndani
dunia inazunguka jua na mwezi unazunguka dunia,kuprove kwamba UN wa walipiga kwa kutokea juu sina ila kwa tulio soma ramani za majengo,jengo moja linaweza kuwa na picha mbalimbali za top view,side view
Sisi wanaume ndo tumewafanya wanawake watake huo usawa,wao hata hawakuwa na mawazo hayo...........kuna mijanaume ukipewa game zuri usiku kesho yake asubuhi linaanza kuleta sera za wanawake wapewe haki sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.