Search results

  1. Ngozi Joram

    Dawa ya kuondoa sumu mwilini

    Halafu article yako naitilia mashaka unasema Waafrika wengi wanakufa kuyokana na sumu mwilini. Njia zinazojaza sumu zinatumiwa na wanadamu wa duniani kote iwe Ui gereza marekani nk. Lakini sumu inatajwa kwa waafrika tu??? Uko serious ndg??
  2. Ngozi Joram

    Dawa ya kuondoa sumu mwilini

    Ungekua hujaweka namba za simu ningejaza macho kuso.a vzr. Nilivyoanza tu kusoma nilinua hili sio somo ni tangazo la biashara nikaruka mwisho nakuta contacts duh haya bana watakuja unaowasubiri
  3. Ngozi Joram

    Kama sijajenga wala kuwa na usafiri binafsi sitaoa maisha yangu yote

    Sawa hata mawazo yako ni sawa tu na umri wako 23 yrs. Maana uko kinadharia tu
  4. Ngozi Joram

    Inakuwaje wale waliokuwa washika mkia darasani ndio wanaongoza katika maisha?

    Umeongea kinadharia sana. Ungefanya wakau kautafiti ka sampo walau ya watu 300 tu ukatuletea hapa sio kama ulivyofanya. KWANI wapo waliokua wenye akili sana darasani wamefanikiwa sana na wapo ambao wako kati wakipambana na hali zao. Pia wapo ambao hawakua wakijiweza sana darasani leo hii...
  5. Ngozi Joram

    Uliza swali lolote juu ya afya ya ngozi

    Salaam mtaalam wa ngozi. Shida niliyonayo mm huwasha nikioga maji yakaukapo mwilini. Hasa nikijifuta maji ndo nakaribisha muwasho sana ila yakikauka bila kujifuta huwasha kidogo
  6. Ngozi Joram

    Jamani mke wangu ana wivu au mashetani?

    Labda amekamata mimba huyo. Kipindi cha mabadiliko hali kama hiyo yaweza kutokea na ikamsumbua sana asipokuona. Ila kama yu mkavu tumboni basi pambana na hali yako bro
  7. Ngozi Joram

    Hivi ni lazima mtu anayesaidiwa maisha awe loyal kwa huyo aliyempa huo msaada

    Hakukua na makubaliano yyt. Yaani msaada uliotolewa was not a deal. Hivyo kanuni inayotembea hapo ni TENDA WEMA NENDA ZAKO USINGOJE SHUKURANI. kwani wakati unafanya uamuzi wa kutoa msaada ulijua tabia mtizamo na misimamo ya msaidiwa??
  8. Ngozi Joram

    Kwanini matajiri wengi wana roho mbaya?

    Mimi ktk harakati zangu nimejifunza mengi. Nitawatetea matajiri. Iko hivi hakuna tajiri anayependa kufilisika. Hivyo fursa yeyote ya kupoteza hela kizembe ni shida kubwa kwake. Sasa mara nyingi watu wasio na uwezo sehemu tofauti iwe mamlaka za serikali au waajiriwa wao nk hufikiri kuwaibia hawa...
  9. Ngozi Joram

    Tujadili Sheria inayosimamia viapo, hususani kiapo cha ndoa

    Kuna sheria ya ndoa si ya viapo. Tena sheria ya ndoa yenyewe haijaandikwa ili uwe na ndoa nzuri bali inasaidia kulinda haki za wanandoa na watoto pindi mnapotaka kutengana ama kuachana. .kiapo komaa nacho mwenyewe muapaji.
  10. Ngozi Joram

    Mwanaume rijali ni yupi?

    Mtoa mada nadhani umeanduka ukiwa na stress. Sasa urijali na hayo maendelo wapi na wapi? Urijali uwezo wa kujamiiana na kuzalisha. Mtu aweza fanya yote uliyoonyeshapo juu hata kama hana mtoto yaani hawezi kuzaa na wala hana mke anaweza kujali ndg zake akaoambana na maisha kwa nidhamu kuu...
  11. Ngozi Joram

    Baraza la "Hikma" Kuhusu Amri za Baba!

    Luqman luqmam Maloto weweeeee. Mnh
  12. Ngozi Joram

    Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

    Kuna sentensi umeiruka au kuiacha. Imalizie tu kuwa "HATA WW UMEFANYA"[emoji1]
  13. Ngozi Joram

    Je, ni sahihi mtu mwenye stashahada kumuongoza mtu wenye shahada akiwa kama bosi wake?

    Sekta binafsi hilo jambo la kawaida kabisa tena amaweza kuongoza hata kama una masters ya cambridge
  14. Ngozi Joram

    Je Tanzania tuna Sheria Kali za Watu wanaofanya mapenzi / ngono ndani ya Magari yao?

    Kama kafanya kwa hiari yake hakuna kosa ila kama amebakwa basi kuna kosa la ubakaji kwa mujibu wa sheria ya makosa ya kujamiiama aka sospa. Sima hakika ila nahisi pia mi koda kufanya mapenzi hadharaji
  15. Ngozi Joram

    Ushauri: Nikipiga goli moja uume unachelewa kusimama

    Hiyo ndo nature kuwa baada ya goli la kwanza unapata mapumziko. Ila pia mchezaji mwenza anachangia sana kuwahisha second operation au kuchelewesha. Its not all about you
  16. Ngozi Joram

    Mwigulu Nchemba: Hawa wanaouwa sio Watanzania, ndio maana miili inapookotwa wananchi hawashtuki

    Kweli mama Tanzania una kazi yaani upokee wakimbizi kuhifadhi maisha yao kumbe unaletewa na maiti za nchi za nje kupitia bahari??? Duh pole Tanzania
  17. Ngozi Joram

    Mwigulu Nchemba: Hawa wanaouwa sio Watanzania, ndio maana miili inapookotwa wananchi hawashtuki

    Wa ruvu watakua wameletwa toka nchi zingine ambazo tunashare mto ruvu. Nahisi hilo litakua jibu....sisemi nimekujibu nali nawaza tu kwa sauti
  18. Ngozi Joram

    Rais ni binadamu, Rais ana hofu ya Mungu, twende naye taratibu atatuelewa wananchi wake

    Nakuona unatafuta udc tu. Rudia ulichoandika kisha zingatia neno "tukufu" uje utueleze kama sio kusaka tonge umemaanisha nini?
Back
Top Bottom