Sijui ni inferiority au ni kukosa uthubutu.
Nimekuwa nikishangazwa na TFF kuendelea kung'ang'ania michezo ya kirafiki na mataifa yaleyale kama Burundi, Malawi, Kenya sijui Ethiopia kila kukicha.
Sibezi uwezo wa nchi hizi isipokuwa ifike mahali tutafute exposure na uzoefu mpya toka sehemu...
Jack Grealish amehamia Manchester City akitokea Aston villa ambako alikuwa nahodha.
Huyu dogo ambaye amewahi kutukanwa matusi mengi asiyojua maana yake na baadhi ya Watanzania kuptia mitandao, wengi tumemjua baada ya samatta kucheza pale villa park.
Grealish amevunja rekodi kwa wachezaji wa...
Wadau wa lugha,
Na Mimi bwana nimebahatika kupata kashahada fulani kutoka moja ya vyuo vyetu vikongwe.
kwahiyo ka-english ka hapa na pale kakuombea maji huwa ninako. Masomo ya english secondary nilipa daraja B.
Tatizo kuu langu ni moja;
Ukiongea wewe kiingereza (mswahili mwenzangu) huniteti...
Huyu mzee ametoka kuzika ndugu zake wawili wa damu ndani ya mda mfupi.
Anapitia nyakati ngumu mno pengne kuliko mpinzani yeyote ndani ya nchi hii.
Anakabiliwa na kesi lukuki, uchumi wake binafsi umeporomoka, usalama wake u shakani.nk
Ana miaka 60.
endapo mwelekeo utakuwa ni huu sijui tu.
Kwa...
Salaam kwenu wananchi,
Miezi michache ijayo Yanga itarejea kwny michuano tajwa baada ya kuikosa kwa muda kdg.
Sasa nikimbie kwny mada fasta:
Alexandre dimitri SONG bila shaka anajulikana.
Ni yule kiungo holding, mwenye nishati nyingi, rasta, raia wa cameroun,mwenye cv iliyoshiba.
Amechezea...
Habarini za mchana.
Nimewaza kufanya biashara tajwa, ya safirisha samaki kwa ndege kutoka mwanza kwenda dsm bila kutumia freezer.
Vibali vipo ila sina uzoefu na usafirishaji wa njia hii.
Je kwa mtaji uliopo wa milion mbili inawezekana? Naomba mwenye ABC za biashara hii anipe mbinu,cost,risk...
Habari za Jioni wadau.
Leo usiku saa tano nchini Morroco nyota wa Kitanzania,
SIMON MSUVA anayeichezea Wydad casamblanca na Shabani Chilunda anayeitumikia timu ya Moghreb Tetouan zote za Morroco.
Wataziongoza timu zao zinazotarajia kucheza leo kwenye michuano ya kombe maalum.
Wydad ndiyo...
Salam wakuu.
Nimewaza sana kwanini viwanda vya pombe Kali (Distilled spirits) kama konyagi, kvant, vodka, dompo, wana design chupa nzuri sana tena zenye mionekano bomba.
Lakini cha kushangaza chupa hizo baada ya matumizi hutelekezwa na kuwa kero kwa uchafuzi wa mazingira yetu.
Sasa sijui...
Leo ktk pitapita zangu mitandaoni..nikitafuta facts za teams nilizotaka kubet
Nikakutana na club inayofahamika kwa jina tajwa hapo juu.
Huyu ni striker mtnz ana miaka 25, mwenye asili ya zanzibar anaitwa A.Yussuf.
Anacheza Nchini uingereza ligi daraja la nne.. (wao wanaita national league)...
Salama wakuu.
Kuna hii kasumba mpya imeingia kwenye jamii.ni kule kujaribu kuleta complications kwenye uandishi wa majina yetu hasa yale ya asili ili yafanane na yale ya kigeni.
Huwa sijui ni ulimbukeni tu au kutojua
Maana au historia. inajulikana waz kuwa majina ya asili hasa ya kibantu...
Habarini wadau wa lugha,
Binafsi ninapata shida sana kuelewa mantiki hasa ya neno tajwa sababu ninaona maneno mawili ndani ya neno moja yenye maana ileile..taarifa ndio habari hiyohiyo.
Hem chunguza tungo zifuatazo;
(a) habari tulizonazo ni kwamba...............
(b) kuna taarifa zimetufikia...
wadau wa lugha, naomba kujuzwa tafsiri sahihi ya neno 'aga'.kwani mimi nahs neno ninalotumia lina mapungufu.nimekuwa natumia neno 'to wipe'. je hakuna neno jingine mbadala.asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.