Mie nampenda sana Mungu, naamini maandiko yake pia, Ila sioni ubaya wa yeye kuendelea na music kama dhamila yake ilikua ni kuburudisha. Kama alikua Na dhamira nyingine ni uamuzi mzuri. Kama kasisitiza mziki wake usiuzwe ni sawa Ila he atakubali kugawa Mali alizopata kupitia huo mziki?
Tafadhali pasco, wewe ni mwandishi wa habari andika taarifa ukiwa umetulia na kujua unachokiandika. Maandishi yako mengi yanajirudiarudia bila msingi wowote, nimechoka na swanglish yako, unarukaruka bila kujua utatua wapi.
Mimi siamini huu uchambuzi umetolewa na mbunge kijana tena msomi daktali. WHAT IS YOUR POINT HERE? NAULIZA HIVO KWA SABABU KICHWA CHA HABARI NA HABARI YENYEWE VITU VIWILI TOFAUTI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.