Hehee.. Wakuu shemeji yenu anaendelea vizuri.. Nitawaletea mkasa na varangati lake..
Kuna mmoja alinijibu "mimi nina tu wangu".. Kwa bashasha na jeuri nikamwambia, "unadhani mimi sina mtu wangu?" nikatoa simu na kutafuta selfie moja akiwa amenibusu (yaani wife) nikamuonesha kisha nikamwambia...
Kama unakumbuka vizuri mnamo DESEMBA 13 mwaka 1991 Mwalimu Julius Nyerere alizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Msasani, Dar es Salaam, juu ya kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini ambao ulianza mwaka 1992.
Baada ya mazungumzo yale pale nyumbani kwake, Siku iliyofuata...
Kama unakumbuka vizuri mnamo DESEMBA 13 mwaka 1991 Mwalimu Julius Nyerere alizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Msasani, Dar es Salaam, juu ya kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini ambao ulianza mwaka 1992.
Baada ya mazungumzo yale pale nyumbani kwake, Siku iliyofuata...
Kuna habari juu ya miujiza ya fimbo ya Mwalimu Nyerere. Moja ya muujiza huo ni juu ya kijana mmoja aliyekuwa mtundu sana shuleni na nyumbani. Kijana huyo siku mwalimu Nyerere alipotembelea shuleni kwao walimu wake walimsemea kwa Nyerere. Basi mwalimu alimuita kisha akamgusa na fimbo yake huku...
Wasalamu,
Ngoja ngoja inang'ata taifa ila bado hatujashtukia. Matusi mengi tunapewa na kuambiwa kwamba kizazi hiki ni cha mjusi; bado hakijasimama kijasiri kupigana. Niwazi kwamba moyo huu bado hauna tiba! Je kuna saa moja uliona muda ni mwanaharamu hauna maana kwa zama hizi? Pale mwanasiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.