Nairobi alikokwenda siyo Rufaa ya Kisheria ya Matibabu ya Wabunge.
Tukumbuke ni nani aling'ang'aniza apelekwe Nairobi,huku akijua na aliambiwa na Spika kuhusu hilo,na baada ya kuhakikisha pesa ya michango imeisha akarudi na kutangaza kuwa "..sisi kama chama tumemaliza majukumu yetu na hatua...
Nina Imani wewe ndiyo Muongo na Cheap Propagandist,huo umri unaoujua wewe kama mzazi na ambao CCM wanaujua ndiyo ULIOCHUNGUZWA.
CCM haifanyi kazi kwa kelele za MITANDAONI viko vyama ndiyo kazi yao wale ambao ufunguzi wa kampeni 2015 jangwani mgombea akasema Ilani mtaisoma mtandaoni.
Kifupi...
Humu JF ukitaka kuwajua vichaa wala hupati shida japo watatia maneno ya kimombo ya "impulsive directives ",bado ni vichaa tu sijui wanapotaka UTAWALA BORA unaofuata KATIBA&SHERIA sijui wanataka huo UTAWALA UWEJE...
KENYA wana lipi la kujivunia kwa Tanzania?
Huyo Kenyatta kuingia kwake Ikulu...
CCM inajua kuchambua wagombea wake VIZURI kuliko chama CHOCHOTE Tz na Afrika,uzuri ni kuwa kila aliyemba nafasi kipindi hiki ALIFUATILIWA na MAJIBU kawekewa kwenye FAILI.
Huyo baba'ke alipopata tu Urais baada ya Uhuru alinyang'anya Ardhi masikini na kujipa yeye na familia yake kiasi kwenye kampeni za 2013 ndiyo ilimpa shida kuwa awarudishie walionyang'anywa na baba'ke akaahidi kurudisha na hakurudisha.
AMBAYE HAJAFIKA AU KUKAA KENYA atadhani UHURU kaongea la...
KUNA WATU WANAMWAMINI SANA MANGE JAPO HAJAONGEA YEYE,YAANI TAYARI ANAJADILIWA KABISA NA HICHO KILICHOANDIKWA KWA VILE KINAITUKANA CHAMA BABA-LAO BASI MTU BILA KUFIKIRI UTIMAMU WAKE WA AKILI ANAANZA KUJENGA HOJA...HII NI SHIDA
Nijuavyo humu unapotoa hiyo mnaita UZI,basi mtoaji ana lengo la kuelimisha kile ambacho hakijulikani au kinajulikana kwa maana tofauti ilhali maana halisi ni nyingine.
Huyu bwana sikuwa nampinga alivyoanza habari yake na kuimaliza ndiyo kaivuruga,hapo ktkt alipoongelea kupiga picha vijana na...
Sasa UMEHARIBU hapo mwisho "..haya ni MAWAZO YANGU...",tafsiri yake ni kwamba wewe ndiyo IDARA....
Ungepaswa kusema kuwa ndivyo ifanyavyo IDARA.
KIUJUMLA maelezo yako umeyapa UHALALI wa KUTOAMINIWA.
Ni kweli ila KIPINDI hiki MGOMBEA haangaliwi kwa MTINDO huu,yaani UCHUNGUZI na VIGEZO wapo WANAOVIFUATILIA kuliko UFIKIRIAVYO.
Hii ya KUSIFIANA mitandaoni sio ya CCM,waachiwe waleee WASIOJUA SIASA na pia yaweza Kuwa kigezo cha KUMHARIBIA ASICHAGULIWE.
MAYALLA!Humu JF kuna lundo la Watoto wasio na Adabu ambao hujihisi wana UELEWA,kumbe ni MAZUMBUKUKU ULIMWENGU UKO HUKU.
Mahojiano uliyapeleka vizuri na UFAFANUZI wa MKURUGENZI KAILIMA tumeuelewa.
Hawa WATOTO wa UMRI na AKILI kimsingi bado hawajagundua kuwa kwa kipindi tulichopo,MBOWE chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.