Naomba kujua kama unajua gates mfano paypal inayotumika na charity organisations Tanzania kwa ajili ya donation online kwa kutumia credit card.paypal Tanzania inasema ni sender only na sio receiver
mkuu hata mimi nimeona hili tatizo sio kiingereza kibaya tatizo ni point alizotoa kwamba africa tunategeme china na hutuwezi lolote bila china hili tusi kwetu, china wametusaidia kwenye infrastructure its true lakini angalia barabara zilizojengwa hao watu hazina uimara wowote in short china kwa...
umeeona ee mkuu hii kitu ni hatari sana najiuliza kwa nini hawa watu hawakufikiria na kujiuliza nana kamuurika rostam na kwa nini yupo peke yake mtanzania
siku si nyingi mtasikia pengo si raia wa tanzania kama watashindwa hili la madawa. hii serikali kazi yao kupakazia watu kesi nashindwa kuiamini hii nchi yetu kwa sababu watu wakifichua uovu tu wanapakaziwa kesi naweza amini kweli pengo anasingiziwa kwa sababu ya 1.kuna kipindi ulimwengu aliongea...
kwani wakuu maandamano ni lini leo au kesho naona ****** anazidi jitanua huko mara kaenda kufungua soko la hisa marakapewa zawadi za heshima tunawaomba jamani maandamano yafanyike tupo nyuma yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.