Heri ya nanenane kwenu nyote mtakaopitia uzi huu.
Ndugu zangu kwa sasa wazee wetu wastaafu wanapitia suala gumu sana linalohusiana na kikokotoo malalamiko yapo kila pahala.
Nina imani Serikali yetu sikivu inasikia na inafanyia kazi jambo hilo ili wazee wetu wapate stahiki zao zote bila...
Kuna ukweli hapa? Maana hata signature hakuna.
https://www.jamiiforums.com/threads/mpaka-sasa-baada-ya-hizi-nauli-mpya-na-tozo-tunasemaje-kuhusu-mama.1890761/
Wakubwa zangu habari ya majukumu?
Leo katika kuangalia Channel yetu ya kizalendo Tanzania Safari Channel kuna documentary inaelezewa ya wanafunzi wa Chuo cha Mwika ambao wamepelekwa kwenda kufanya utafiti kule hifadhini, kiuhalisia mpaka sasa naona vijana wa watu wamepelekwa kuteseka kule kwa...
Habari..
Ninahitaji binti kwa ajili ya kazi ya saloon ya kike saloon ipo chuo kikuu mzumbe(Morogoro) sifa kuu awe na nidhamu na ajue kusuka mitindo mingi Mwenye uhitaji ani PM tafadhari kwa maelezo zaidi.
Ahsanteni.
Habari wakuu,
Naandika uzi huu kutokana na kero nilizokutana nazo siku ya leo hapa wilayani Uvinza mkoa wa kigoma
Nimetembela wilaya ya uvinza katika majukumu ya kikazi na harakati za maisha kwa kweli wakazi wa hili eneo hasa wapenda na watumiaji wa vilevi hawana sehemu thabiti ya kukidhi haja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.