Sasa kama kila nchi sadaka zinaenda Vatcan, hao jamaa wa Vatcan wanaweza kununua bara la Afrika wakiamua,fikiria kila wiki sadaka zinaenda vatcan, na sio sadaka za Tanzania tu Duniani kote walipo wa Roman catholic,kila wiki sadaka ziende Vatcan miaka yote,
Ni kweli amependa kupita kiasi na huyo aliempenda hajampenda kama yeye alinavyo mchukulia iliwahi kunitokea hiyo hali lakin yule manzi alikua ananiambia jiamini
Kitanda hakizai haramu huyo mtoto sio wako tena sahau kabisa toa wazo hilo na ukitaka ufe siku sio zako jaribu kurefusha mdomo,wewe ni mwizi wa mke wa mtu huna hata aibu kuleta mada hiyo hapa
Hivi mnaumia je nyie? tatzo leo mnaingia kwenye mahusiano ukimuamini mwanamke, usije kumuamin mwanamke ingia kwenye mahusiano umejiandaa kisaikolojia lolote linaweza kutokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.