Wakuu, habari za uzima.
Foundation program ni course ya mwaka mmoja inayofundishwa katika chuo kikuu huria ikiwa na kama daraja kwa wahitimu(form four, form six au colleges )wanaotaka kwenda chuo kikuu ila hawajafikisha vigezo.
Hivyo kuna vigezo ukifikisha baada ya kumaliza hii foundation...
Pole sana Mkuu kwa hayo unayopitia, naona ni jinsi gani inavyokutesa lakini uzuri kutakua tu na suruhisho maana hakumu gumu lisilokuaa na jawabu, vuta subra...ndani ya mda kitambo utapata faraja na aman tele. Muumba mbingu na nchi akufanyie wepesi ndugu yangu.
Mkuu utakua poa, mdogo angu alikua Na Huo ugonjwa ila yeye Hivyo vipele vilikua kwene korodani, alitumia dawa ya kupaka ya tube kwa week mbili akapona kabisa, hivyo utakua sawa Mkuu usiwaze.
Big up Mkuu,
Kuna jamaa namfahamu alimaliza St Joseph class of 2017....alipomaliza nae akaenda jiunga KK Security kafanya kazi miezi miwili tu kupitia pale kapata kazi ya profession yake na anaondoka na 800K take home.
Hiyo ni njia tu Mkuu.....huna miaka mingi hapo utapata connection ya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.