Tumekuwa watu wa kukata tamaa kwa haraka sana.
Kitu kidogo mtu akijaribu kufanya, akikutana na changamoto leo na kesho anakataa tamaa bila kujiongeza....
Nakushauri usome kidogo hapa Don’t Give Up
Ili upate uamsho na moyo wa kutokata tamaa kwa haraka.
Tupo pamoja
>>Don’t Give Up
>>Don’t Give Up
Katika kipindi hiki cha ujio wa simu za kupangusa(Ina maana smart phones). Mitandao ya kijamii imeshika nafasi kubwa sana kusambaza habari.
Sio kama zamani tulikuwa tunategemea redio,magazeti na TV ili kupata habari,lakin saiv watu wengi hawategemei vyanzo hivo pekee kuwa ndo source ya habari...
Tanzania ni moja ya nchi iliyobarikiwa na vivutio vingi sana vya utalii hapa duniani.
Kwa utafiti uliofanywa kuna vivutio vingi sana hapa Tanzania lakini bado hatupata mwanya wa kujitangaza ipasavyo.
Tanzania inatakiwa kujitangaza kwa nguvu zote katika utalii wake, kwani wageni wengi bado...
Watanzania wengi wanapenda maendeleo.Lakin kupenda maendeleo sio kwamba ndo utaendelea.
Maendeleo nchi yoyote yanahitaji kujitoa, uvumilivu, malengo na juhudi binafsi ili uweze kupata mafanikio.
Sababu zinazofanya tuchelewe kupata maendeleo.
Hatufanyi kazi kwa bidii na malengo- Hi sio kwamba...
Hello wana Jamii forum...
Jamani mimi nafanya kazi katika kampuni fulan hapa mjini lakin kila nikiomba tenda nakosa, wanapata washiriki wengine.
Tafadhalini naombeni mbinu za kushinda na kuchukua tenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.