Habari, nimekuwa nikisumbuliwa na popo kwa muda mrefu mpaka wananiharibia mabati na ukuta. Naomba anaefahamu sawa ya kuwauwa kabisa wapotee anisaidie maana wamekuwa kero.
Habari za humu ndani,
Naomba ushauri huu ugonjwa siuelewi yaani wakati wa haja ndogo kutoka huchanganyika na mafuta yenye rangi ya mawese na yakidondoka kwenye sink la choo huganda haraka sana nikigusa naona ni mafuta kabisa tena yanaharufu mbaya.
Anayejua anisaidiee plz.
Habari ndugu zanguni,
Ninaomba msaada mtoto wangu ana umri miez 4 Lakini kila akinyonya tu baada ya kumaliza anaharisha choo cha kijani chenye kamasi sana nilimpeleka kwa tabibu nikapewa septrin lkn naona tatizo linaendelea wengine wanasema meno wengine kukaa sasa sielewi ila hachemki wala hana...
Anyway naheshimu maoni yako mkuu pia natambua unachomaanisha.
Ukweli ni kuwa hivyo ni vyombo ambavyo vipo chini yake na ndipo nguvu ya rais ilipo + jeshi ambalo natambua kwanini hukuliweka kwenye koment yako.
Habari wakuu!. Naomba msaada kwa anayejua dawa ya kumaliza kunguni kwa haraka.
Msicheke nafanya usafi wote lakini bado nimepulizia rungu wapi, na sijui niliwatoa wapi nina wasiwasi na kwenye basi moja la mkoani.
=========
Kunguni ni wadudu wadogo wa familia Cimicidae katika oda Hemiptera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.