hao watu umenikumbusha walikuja hm kujitia wanataka kununua gar bt waliposhtukiwa wakapora cm wakaanza kutuma sms kwa kila no iliyokuwepo kwenye phone bk akijitia muhusika wa cm anaazima ela akaweka namba ya tigo pesa kwa kila anayemwomba ela aitume kupitia namba hiyo.tulipotaka kumtrace jina...
mhhh mi mbona nilipwa posho ya siku saba pamoja na pesa ya mizigo? n it was 2012. na sio mimi tu wote
tulioajiriwa tulilipwa pesa za mizigo though ilichelewa sana.
kwa experienc ya mkoa wa lind na maafisa maendeleo lazima atapelekwa kati ya wilaya 6 za lind,wakimpanga kilwa ni kuzur sana,lind mjin c kubaya,lind vijijin nako c kubaya pako mjin,ruangwa na nachingwea nako ndio panaanza kuendelea,liwale kubaya,mwambie aje lind,kwanza karibu na dar kama mfuko...
Utrack hawana kiwango maalum cha mishahara inategemea bargain power yako,ila wabaguzi wanawalipa watu wa nje mshahara mkubwa kuliko wazawa, na kama moyo wako mgumu we nenda tu coz huko matusi na makelele kwa bosi ni salamu ya asubuh, lakin kama unakazi yako nakushauri usiache,watu wengi wanaacha...
Nilikuwa napinga ubaguzi kati ya mwenye elimu na empty head, lakini sasa ona diamond anajionyesha dhahir kichwa ki2pu anawezaje kuanika mahusiano yake ya zamani kwa public? Loh! Pole jokate kazi unayo,nawe sasa hiv kichwa chako kitakuwa kama cha diamond.
Nimewahi kufanya interview mbili za utumishi,kwenye written interview sijawah kukutana na swali kama hilo kama itatokea mara chache,hakikisha unasoma ulichofundishwa darasani,kama accountant soma vitin vya account kwa summary,kama auditor soma vya auditing, ulivyofundishwa vyote utavikuta,hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.