Safari ijayo tutakuwa wote. Ngja nuandae hati za kusafiria Mkuu Mshana Jr
Binafsi ni nipongeze timu nzima ya maandalizi na kwako kama pilot wa hii Idea. Hii inaleta ushirikiano wa kujikwamua kiuchumi sana.
Msisahau kutuletea, Bidhaa moving kwenye soko na bei ya huko. Hayo mengine wasalimieni...
Mkuu ninasab woofer hapa aina ya ABORDER. Sasa hivi majuzi ilikwama ghafla ikawa inapiga tweeter peke yake. Bass na main speaker vilikata Kabisa. SASA kuna fundi hapa nilimpelekea... Cha ajabu Maneno yamekuwa mengi mara tusuke kipande kusaport bass, mara tununue power IC. Nikampa Pesa ya vifaa...
ONLINE TV
Wadau NDUKI ampojoter4 Mshana Jr Majukumu ya maisha yananipeleka mbio mno. Nadhani niliahidi kuwa nitatoa mapendekezo ya vifaa na gharama zake.
Hivyo, nimependekeza vifaa hapo chini kwenye picha au PDF file ambayo itapanda haraka hapa. Bajeti ya M. 7 inatosha Kabisa kuwa na...
Tcra huko usiwaze sana kabla ya KAZI. Kodi huanza kulipwa pale unapoanza kuona mafanikio.
Kama kuna madhui yanayoigusa Serikali ndiyo itakuwa balaaa. Ila kwa sasa tafuta vifaa anza KAZI, maana wengi huishia njiani na ndio HIVYO na kodi ishalambwa na Serikali Mkuu.
Ingia mzigoni.
Kuhusu vifaa...
Na je tangu uende kwa yule Shekh, ukaenda sumbawanga.... "Utakufa kifo kibaya sana wewe" hii ilikuwa SMS ya Ally Mpemba, vipi hakukutafuta tena tangu zile pilika za kujinasua ulizokuwa nazo??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.