oyaaa mazeee na mchumba wangu ila sijui kama nampenda b'se nikikaa huwa some times namuona waukweli tena nikikaa some times namuuona wakiuwongo kama nime ingia choo cha kike vile nifanyeje sasa hii issue inanisumbua sana kichwa changu waungwana hebu naombeni msaada wenu wakimawazo zaidi>>>>>>>
Oya mazee mm nilikuwa naona kwanza watu wapewe elimu kwanza kuhusu New katiba la sivyo hatuta fikia malengo mazeee au mnaionaje hiiiiii iiiiiiiii iiiiiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.