Habari kwenu mabibi na mabwana!
Naandika mada hii nikiwa na hasira kali sana (nivumilie kwa lugha yangu).
Hivi karibuni nimekutana na kitendo cha kishenzi kimenishangaza, kimenifedhehesha zaidi ya yote kimenipandisha hasira, yote ni baada ya kishuhudia jirani yangu aki-mkiss mtoto wa ndugu...
Habarini!
Nampenda huyu Mama ana moyo mwema sana ni mkarimu, anamoyo wa kujali vile vile ni mchangamfu hata kwa mtu asiye mfahamu.
Katika sanaa ya Tanzania kainua vipaji vingi sana sote tunajua hilo ni mchapakazi mzuri, mpenda amani asiye na makuu na yeyote.
Wabaya wachache wanajaribu...
Habarini wana JF ni matumaini yangu mpo wazima kabisa katika kipindi hiki cha karantini tuendelee kuchukua tahadhari.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kwenu madam Ritta na timu nzima ya BSS kwanza niwapongeze kwa kazi kubwa mliofanya na mnayoendelea kufanya ya kuinua vipaji...
Habarini ninyi nyote kokote mliko.
Niende moja kwa moja kwenye mada, nimekuwa nikishuhudia wimbi kubwa la wanawake wa umri 18-30 yrs kuonesha ishara ya kidole cha kati hadharani kabisa bila aibu, kiukweli hii ishara sio nzuri katika maadili yetu kwa jinsia zote hasa inapooneshwa na wanawake...
Poleni Sana mnaosikiliza redio narudia tena poleni sana
Information ziko kila mahali haina haja ya kukaa kusubiri upangiwe na mtangazaji cha kusikiliza/kufahamishwa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.