Sijui ni lini Tutaelimika.kweli ya kaisari mpeni Kaisari, MASWALI LA MSINGI:
Je dawa ya huyo RAIS ina masharti ya kiimani?
Je amekubali ifanyiwe uchunguzi wa Kisayansi?
But kama ina masharti ya kiimani au lazima akupe yeye mwenyewe au lazima mtu anywe hapohapo huo utakua upuuzi kama upuuzi wa...
He! kila siku babuuuuuu,babuuuuuuuuu, Kweli tutachelewa kuendelea.Waacheni wenye Imani zao waende,Wakipona Faida kwa Taifa wasipopona Hasara kwao.Wenyewe washawaambia ni masuala yanayohusu Imani zao,sasa kinachokuuma ni kitu gani wewe usiye amimi?Watu mnajaza Thred kibaaaaaaaaao,mawazo ni...
Waislam tunafahamu kama Yahya Hussein is nothing but Mshirikina hilo neno Shekh lisikutishe jamaa msanii tu kama wasanii wengine na wafuasi wao ni mbumbumbu wasiojielewa na wasioelewa DINI pamoja na waliopoteza dira za maisha.
Samahani ivuga naomba ulifute Hilo neno Rangi NYEUSi maana linakuonyesha kama wewe unasuport Racism maana hata hao watu weupe wana uozo kibao. sio waarabu wala wazungu.Tunachotakiwa kufanya ni kutafuta way out sio mineno miiiiiiiiiingi halafu point ni 10%.
Najua wewe ni mpenzi wa CDM,Ndio maana unasahau hata kuwakataza watu wanaoleta ukabila( yaani wanaotumia Ukwere) kama ndio unaoharibu nchi, hili naomba mrekebishane mkimtaja JK haina haja ya kuweka kabila lake.Mbona mkimtaja Slaa hamueki kabila lake?ok turudi kwenye mada yetu,kilichokufanya...
hayo maelezo ya hilo neno KUJIUZULU yanapatikana kwenye kamusi gani?maana nimependezwa nayo.lakini nina maswali machache (1)huko kustaafishwa ndio vipi? (2)Je mtu aliyejiuzulu anaitwaje? Mjiuzulu au? maana kila nikichakachua sipati picha.
Sioni tatizo kwa Muheshimiwa Zito na ndie kiongozi ninayeweza kumtaja mbele za Watu kwamba ni mtu wa kweli na hana Uchama bali anasimama kwenye haki.yeye ni Tanzania kwanza Chama baadae sio kama wengine ambao ni chama kwanza tanzania baadae.Tanzania inatakiwa kujivunia watu wa aina hii.Ekeni...
Nakushukuru sana kwa maelezo yanayoendana na upeo wako>Kuhusu umeme na hayo mabajaji ni ujinga ulio wazi hata Watoto wanajua.labda nikuulize tena ndugu yangu kuna hutuba yoyote ambayo Huyu rais wa CCM JK amesema msimchague slaa kwa sababu ni padri au msimchague lipumba kwa sababu ni muislamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.