Mawazo yangu kwenye dirisha kubwa tuongeze hawa [emoji1484];
CB-De ligt au Hato.
Midfielder-De Jong au Zubimendi.
Winger-Neto.
Striker-Mniletee yeyote tu
Lakini kwa akili yangu mlete (Ollie Watkins au Goncalo Ramos).
Kisha Toa kwa mkopo msimu mzima wakakomae zaidi;[emoji1484]
Albert Sambi...
1: Kwaajili ya short term plan nitamchukua Ollie Watkins, kwa sasa ana miaka 28, hivyo anaweza kutumika kwa misimu mitatu kisha ntakua tayari nimekuza kijana wangu wa long term project [emoji116]
2: Nitachagua kati ya Goncalo Ramos au Ferguson wa Brighton. Naamini kwa factor ya umri na uwezo...
Mkuu habari yako.
Naweza kupata vitabu vya kumbukumbu na mauzo vya sasa (latest-2023-2024)
Kama vinavyoonekana kwenye attachment hapo chini. msaada tafadhali..
Muda wa Fabio Vieira maestro kuanza na Kai kuanzia benchi umefika.
Fabio anatoa maswali magumu na majibu yake kila mechi anayocheza.
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Thank you George Ambangile. Kama kuna mtu hajaelewa huu uchambuzi hapa basi hajui chochote kuhusu transition ya Arsenal kutoka misimu iliyopita na huu wa sasa.
Ngoja hamis77 alete uchambuzi wa watu wa mpira George ambangile,utamuelewa kwanini Mikel arteta kazichanga karata zake vile leo.
Binafsi sikuelewa kikosi kilivyotoka ila baada ya mechi na uchambuzi ndio nimeelewa.
Point kubwa sana niliyojifunza, msimu uliopita tulikua tunakosa kufanya options...
Ukisoma uchambuzi wa George ambangile instagram utaelewa leo Mikel kafanya nini ambacho hatukufanya last game ikatucost.
Nimeshindwa tu kuucopy uchambuzi wake.
The England international scored a wonderful goal from distance as the Gunners kicked off their title bid with three precious points
Arsenal kicked off their 2023-24 Premier League campaign with a 2-1 victory over Nottingham Forest at the Emirates on Saturday afternoon - but the Gunners were...
Players with uncertain futures still at the club:
• Folarin Balogun
• Rob Holding
• Nuno Tavares
• Nicolás Pépé
• Cedrić
• Mohamed Elneny
• Kieran Tierney
• Albert Sambi Lokonga
• Alex Runarsson
Arsenal and Chelsea given huge Mohammed Kudus transfer incentive as Brighton deal stalls.
Mohammed Kudus is attracting interest from top Premier League clubs with Arsenal and Chelsea keen on signing the Ghana international.
By Sam HillTrends Writer
21:00, 10 AUG 2023.
Arsenal and Chelsea have...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.