Search results

  1. abou

    Jamaa anasema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa Pwani

    Jitahidini kusoma, msikubaki kuondoka/kumaliza shule kama ujinga haujawatoka.
  2. abou

    Dalai Lama avuna aibu ya karne

    Alimuomba amnyonye ulimi, si kweli kiwa huo ni utamaduni wa kitibet kunyonyana ndimi. Kukusaidia tuu kuelewa, Dalai lama mwenyewe katika tamko lake la kutaka radhi anasema alikuwa akimtania mtoto huyo.
  3. abou

    Waliotengeneza invoice kubwa siyo watumishi WA umma, NI kampuni iliyopewa dhamana yakutengeneza ndege ya mzigo. Kwanini tunawaogopa kusema ukweli?

    Kwanza, rais anazungumzia kitendo cha kupeleka over priced invoice ambayo ilipofika kwake na kuhoji imekuwaje kuna tofauti kati ya serikali ilichotakiwa kulipa kwenye installment hiyo ya mwisho na kiasi kilicho kwenye invoice husika iliyoletwa ndipo akapewa sababu zisizo na mashiko. Invoice hiyo...
  4. abou

    Ripoti ya CAG?; Rais ajiuzulu na tuitishe uchaguzi mkuu,tuache siasa kwenye maisha ya watu

    Ni report gani ya CAG ambayo haikuwahi kuonyesha wizi na mismanagement ya fedha za umma katika kipindi cha miaka 7 iliyopita? Na ni hatua gani zilichukuliwa wakati huo kama si kumfukuza CAG ili kuficha uchafu huo ? Alivhokionyesha CAG kwenye report ya mwaka jana ndicho amekuwa akionyesha wakati...
  5. abou

    Ripoti ya CAG 2021/2022. ATCL, NHIF, Deni la Taifa, Vyura wa Kihansi, risiti za kielektroniki, Biswalo. Vyazua Mjadala

    Waandishi na hao uliowaita "wapashaji" hasingeweza kufanya uchambuzi wa ripoti wasiyonayo, leo ndio imekuwa wazi kwa umma hivyo itachambuliwa sasa. Na kuhusu maswali, hasa hiyo ripoti ndiyo maswali yenyewe. Wanaotakiwa kuulizwa ili wajibu ni serikali.
  6. abou

    Tetesi: Kampeni ya kumpongeza Rais Samia imetumia billion 80. Je, huu sio upigaji?

    Kwanza jifunze kuandika vizuri kiswahili, pili huyo "mtu wa juu serikalini aliye takukuru" alikuwa anakueleza ili iweje ? Je angekwambia ilitumika bil 300 ? Tatu, azimio la kumpongeza Samia ni la bunge, tangu lini bunge likatumia bil 80 kwa siku ?
  7. abou

    Chongolo umewasahau waliokufisha ulipo unaanza kuwadhalilisha

    Sio tuu haijui ccm lakini pia ni mgeni wa siasa za Tanzania kwa ujumla
  8. abou

    Tabia ya Waarabu kugawa nyama misikitini imekaaje?

    Inahitaji kuchinja "mapaka" wangapi kulisha waumini wa kijiji kizima ? Upatikanaji wa hao paka nao upoje ?
  9. abou

    Tabia ya Waarabu kugawa nyama misikitini imekaaje?

    Mtoa mada anasema wanyama huchinjwa na chakula hutolewa msikitini, sasa hao wafuasi wa dini nyingine hufanya ibada humo misikitini ?
  10. abou

    Tabia ya Waarabu kugawa nyama misikitini imekaaje?

    Hela wametoa wapi, haja ya kusaidia katika elimu badala ya nyama na wanawaonaje kuhusu shida zenu nadhani ingefaa uwaulize wao wenyewe nina hakika ungepata jibu lenye uhalisia kuliko nadharia. Suala la nyie mnajiona mna shida gani na kujitolea kwao kuna faida gani kwenu nadhani mlitakiwa...
  11. abou

    Nyerere alikosea sana alipokumbatia wahindi/warabu na kuwafukuza wazungu

    Walikuwa hawajazaliwa hawa, wanamsoma tuu mchonga na kusikia stori za kina Burito kuhusu Mwalimi
  12. abou

    Jakaya Kikwete na msafara mkubwa

    Alikua huko kama mkuu wa UDSM, kutembelea sehemu za tafiti za malikale, hivyo huo msafara haukuwa wa magari ya rais mstaafu pekee kulikuwa na wakurugenzi wa makumbusho ya taifa, mkuu wa chuo na taasisi na idara nyengine za serikali ambao viongozi wake walikua sehemu ya ziara hiyo. Hata hivyo kwa...
  13. abou

    Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

    Unajua makanisa znz yameanza kujengwa mwaka gani ?
  14. abou

    Azam Media na hadaa za heri ya Christmas na mwaka mpya

    Nilidhani ungejibu hilo swali
  15. abou

    'Umbea mode of security system' namshauri Samia aitumie

    Kwamba kuna miradi mikubwa na mzunguko wa pesa umekuwa mdogo, umesahau wakati wa huyo mwendazake mzunguko ulivyokua finyu wananchi wakilalama "vyuma vimekaza"? Mzunguko wa fedha ulikuwa hafifu saana wakati wa mwendazake, anaye dai mzunguko ulikuwa zaidi wakati wa mwendazake bila shaka atakuwa na...
  16. abou

    Azam Media na hadaa za heri ya Christmas na mwaka mpya

    Hawakupotea ndani ya miaka mi 5 iliyopita, vipi watapotea baada ya miaka 6 ijayo ?
  17. abou

    Angalia daraja Mbuchi na Mbwera Kibiti la Bilioni 7.2 lililojengwa na Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu. Tujipongeze

    Daraja hili "halijajengwa" na rais dkt. Samia haya ni matunda ya mtangulizi wake. Bajeti ya kwanza ya awamu hii ndio kwaanza ipo nusu, haya yalikuwepo na kutekelezwa kabla yake, kama kuwasifu tuwasifu walioingia mkataba wa ujenzi huu.
  18. abou

    Ole Sabaya anafaa sana kuwa Rais wa Tanzania, na atakuja kuwa

    Tuliwashauri, hamkuelewa tunawashauri tena, huu mnaofanya ni upuuzi. Hakuna namna mtamsafisha Sabaya kwa kuzitisha mamlaka za nchi hii. Huyo Sabaya hakuwa lolote, na mamlaka mnazo jaribu kuzitishia nyama ndizo zilizomuweka hapo na sasa mamlaka hizo zimemrudisha zilipomtoa. Unasema Sabaya...
Back
Top Bottom