Umuofia kwenu!
Shamba lenye ukubwa ya Ekari 100 Linauzwa.Shamba lipo Kijiji Cha Kwandugwa.Umbali wa Km 14 toka Mkata Centre. Shamba ni pori.Halijawahi kusafishwa.Linauzwa kwa Tsh 18M.Mazungumzo kidogo yapo.Shamba lina hati ya mauziano ya serikali ya Kijiji na mnunuzi atapata haki ya...
Umuofia kwenu!
Kiwanja chenye ukubwa wa Ekari 1.5 kinauzwa
Kiwanja kipo kijiji cha Mwakalundi,umbali wa kilometre 4 toka Buswelu Wilayani.Kimetizamana na barabara kuu na kinafaa kwa biashara,makazi au ujenzi wa hosteli.
Chuo Kikuu Bugando kitajenga campus maeneo hayo siku za karibuni.
Bei ni...
Umuofia kwenu! Kwenu!
Wadau nimekuja hapa kuomba mwongozo juu ya taratibu za kupata kibali cha uvunaji miti ya asili shambani kwangu.
Nimenunua shamba wilaya ya Kilindi na niko mbioni kulisafisha kwa kukata miti iliyopo ili niweze kufanya kilimo.
Baadhi ya wanakijiji kwa kuogopa urasimu ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.