Search results

  1. D

    Malisa ampinga kwa fact Polepole kuhusu CCM kuiletea maendeleo Moshi

    Tuhuma hizi ni za uongo nyingi: KNCU umeuwa wenyewe Uvunjaji wa nyumba kuanzia Ubungo hadi Mbezi walioadhirika ni kabila zote siyo wachagga tu. Kilio cha kodi ni kwa watu wote na si kabila moja
  2. D

    Singida, Iramba: Mkutano wa Mwigulu Nchemba wafurika, awataka wananchi wasisononekee Uwaziri

    Na hakuna jambo la ajabu katika kubadili safu ya uongozi kwenye cabinet, JK alifanya mabadiliko mengi sana, Mwinyi aliwahi kuvunja baraza zima, Mkapa nayepia alifanya mabadiliko kadhaa. Ukweli wa mambo ni kuwa Mwigulu Lameck ni mtu mwenye akili nyingi na bado ni wa manufaa kwenye serikali. Ni...
  3. D

    Msemaji mkuu wa Serikali kuongea na vyombo habari leo mchana.

    Hii Dodoma nayo ina jengo moja tu la LAPF? Kila kitu ni LAPF, benki mpya CRDB, NMB- LAPF! Wizara karibu zote LAPF
  4. D

    CAG Mussa Assad: Tanzania hatuhitaji viongozi wenye nguvu, bali taasisi imara

    Hii statement imeshawahi kutolewa mara nyingi na watu wengi and is alll about good governance. Aliachoongeza ni kutaja Tanzaniain particular , and the timing- muda alipoitoa statement hii
  5. D

    Asante Rais wetu JPM kwa kukomesha ukiritimba kuonesha Kombe la Dunia

    Watu wengi waliangalia TBC sababu hawakuwa na njia mbadala kwa kweli wajiandae zaidi Poor resolution, poor analysis, poor network!! basi tu!
  6. D

    Hivi Rais Magufuli ametingwa sana kuliko wenzake wote wa nchi za SADC?

    Kuna wakati mmoja Raisi aliwahi kuhudhuria sherehe za kimila la Raisi wa Botswana. Nakumbuka watu walisema sana. Lakini, sikumbuki lawama zozote kwa safari za AU, Commonwealth, au UN. Image ya nchi ni Raisi wake ndiyo maana anakuwa na private jet kwa ajili ya kuwakilisha nchi kwenye forums mbali...
  7. D

    Waziri Jenista Mhagama ameivunja bodi ya wadhamini ya NSSF ili kuimarisha shirika

    Hii ilitegemewa. Baada ya Director General kuondoka na kuja mpya, it was imminent that the Board of Directors would be dissolved as well. The new Director General would need a new team
  8. D

    Fatma Karume: 2020 tujitokeze kumpa kura mtu anayestahili kuwa Rais wa Tanzania, anayeheshimu raia

    Wenye kumwamini Mungu waombe ili haya yatimie. Watu wenye kutimiza haya wapo, na wengine kwa shughuli za kisiasa " active politics" ambazo wamefanya wameonesha maturity ya hali ya juu. By 2020 watakuwa na umri na experience tosha kabisa. Mungu walinde vijana hawa tunaamini uliwafanya wazaliwe...
  9. D

    Rais Magufuli sasa imetosha, waambie trafiki wako barabarani watuache tupumue

    Manufacturing sector uzalishaji umepungua sana, Imports zimepungua, kwa hiyo alternatives ni fines and penalities
  10. D

    Je, Mhe. Zitto Akamatwe na Kushtakiwa Kwa Kuidhalilisha Taasisi ya Urais Kwa Kudai Fedha za Leo Sio Gawio ni Maduhuli?

    Kampuni ya gesi kuuza hisa zake labda ni kutokana na kuamua kuingiza mtaji mpya/ au uongozi mpya wa kuiendesha. Inawezekana kampuni ilikuwa haipati faida na hivyo kushindwa kutoa gawio ndiyo maana ikaamua kuuza hisa ili ilipate mtaji wa kutosha na manejimenti mpya
  11. D

    Serikali inawatengenezea vipato Wachina, huu ni wizi!

    Kamati yoyote haijawahi kunufaisha umma, bali ni kiini macho ambacho mmoja wa wachezaji hutangazwa kuwa ameaga umaskini huku utitiri wa watu ukiwa unapoteza mamilioni ya fedha kila siku. Hii ndiyo style ya BIKO. TATU MZUKA, SPORT PESA na nyinginezo nyingi. Kwa hiyo njia pekee ya umma kunufaika...
  12. D

    Kumbe Rais Magufuli kadanganywa kirahisi sana suala la gawio

    Niliona na mrembo wa SSRA anatoa gawio serikalini, nikajiuliza: 1. Is SSRA a company? 2. Sources za income yao ni zipi? 3. Kama ni Executive Agency, mbona agencies nyinginezo hazikutoa gawio? It is apparent sasa Hazina kupitia msajili wa hazina inatakiwa kulieleza suala hili clearly ili uma...
  13. D

    Je, Mhe. Zitto Akamatwe na Kushtakiwa Kwa Kuidhalilisha Taasisi ya Urais Kwa Kudai Fedha za Leo Sio Gawio ni Maduhuli?

    Tatizo hapa ni jina la fedha hizo. Basi wataalam wanaweza kushauri jina muafaka kuondoa mkanganyiko. La muhimu serikali imepokea fedha ambazo tunaamini zitanufaisha umma wa watanzania, na sasa watanzania wataona umuhimu wa mashirika haya ya umma
  14. D

    Zitto: Tunapata maduhuli na si "gawio"

    Mheshimiwa Zito, leo kwenye hotuba yake Raisi kasema kwa mashirika yasiyotoa dividents serikalini na viongozi wake wanahudhuria mikutano ya bodi na wanalipwa posho za wakurugenzi " directors fees" ni afadhali hata wangechukua hizo posho wapeleke serikalini kama dividends
  15. D

    Rais Magufuli kupokea mabilioni kama Gawio kutoka Taasisi, Kampuni na Mashirika ya Umma 47

    hawa wamebanwa kwenye eneo la matumizi na mikataba
  16. D

    Rais Magufuli kupokea mabilioni kama Gawio kutoka Taasisi, Kampuni na Mashirika ya Umma 47

    Tunaamini sheria za makampuni zinafuatwa, yaani gawio kwa wanahisa linaamuliwa kwenye mkutano wa wanahisa. Tunachoamini pia ni kwamba mashirika haya ya uma yanawekeza sehemu ya faida kwenye mtaji ili kuweza kwenda sambamba na mahitaji ya teknolojia, uboreshaji wa bithaa na huduma wanazotoa, na...
  17. D

    RC Mnyeti akanusha madai ya utoroshwaji wa Tanzanite: Adai uzalishaji ndio ulipungua

    Hivi madini yana msimu kama mazao ya kilimo, pamba, kahawa, chai, korosho?
Back
Top Bottom