Hili lipo, tena waliowahi kusema siyo hao tu, yupo na kigogo mmoja aliyestaafu aliwahisema, mi nadhani wanachomekea chomekea ili kutuandaa ki saikolojia ili mwishoni kabisa wabadili gia angani!
Wanachoweza kutufanyia kwenye chanjo ya korona kinaweza kufanyika kwa njia nyingine, coz kama ni chanjo zipo nyingi sana, rejea mahudhulio na chanjo Clinic kwa wajawazito na watoto wa -5yrs
Tunatakiwa tuandamane kwenye mitandao ili TCRA wamuweke bench, kile kipindi hakimfai yule hafai kuwa mwalimu wa wanawake yule ni victim wa ndoa, wala hana experiance zaidi ya simulizi anazoambulia kushuri kuachana, anatakiwa asifanye hiyo kazi kabisa[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Kama unaamini huyo ni bora kuliko miungu ya mababu zetu, unatudhibitishiaje?
Je kuna mtoto anaezaliwa anamjua kama anavyojua kunyonya? Au mpaka afundishwe?
Na je kama ni mpaka afundishwe huoni kama hapo kunaweza kuwa na maslahi binafsi kwa hao waliotuletea dini zao?
Kwani kusema kwake kwamba "Mungu ana kazi nyingi hawezi kuhangaika na wajinga" kunaoneshaje kama hana akili, au kunaoneshaje kwamba hana dini?
Kusema kwake kwamba "Mungu ana kazi nyingi hawezi kuhangaika na wajinga" kunahusianaje na kupona kwake majeraha ya risasi?
Ushabiki ni kama ugonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.