Search results

  1. GREAT NAME

    Naomba kujua jinsi ya kupata namba ya NIDA kupitia mitandao

    KWEMA humu nilijisajili mwaka jana mwezi wa kumi na moja lakini mpaka leo naambiwa namba bado haijatoka naomba kujua njia za kuipata asanteni.
  2. GREAT NAME

    Natokwa usaha sehemu ya haja ndogo. Nini tatizo wakuu?

    Siku ya pili leo uume unadondosha usaha tatizo msaada wakuu.
  3. GREAT NAME

    FA CUP: NAMUNGO FC vs YANGA FC

    Yanga fc leo wanashuka dimbani katika uwanja wa majaliwa, lindi kikipiga na namungo fc katika mchezo wa kombe la FA, _______________ Kipindi cha kwanza kimeisha kwa dakika 46 uwanjani hakuna aliyeonyesha ubabe kwa mwenzie, _______________ HT NAMUNGO 0 vs YANGA 0 _______________ KIPINI CHA PILI...
  4. GREAT NAME

    Mbao vs Yanga

    Hatimaye baada ya kuchezea kichapo heavy kutoka kwa mnyama simba sport club, Timu ya Yanga fc leo almanusura ipoteze tena mbele ya wauza mbao wa jiji la mwanza Mbao fc baada ya kwenda mapumziko wakiwa nyuma kwa bao moja bila, Kipindi cha pili Yanga walijitahidi na kupata ushindi mwembamba wa...
  5. GREAT NAME

    Just for fun: Nimetoka mbinguni niulize swali lolote

    Just for fun, I com from heaven ask me any question
  6. GREAT NAME

    Baadhi ya Walokole na Wasabato tumekuwa na tabia za ajabu sana

    Habari za leo, Hizi dini kwa sasa zimekuwahazivutii kabisa tofauti na zamani hasa hawa wanaojiita walokole. Wamekuwa na vijitabia vya ajabu ajabu katika maisha yao ya kila siku sio wote ila wengi wao ni wanafiki, wachonganishi, wachoyo na wanapenda kujionesha kwa watu kuwa wao ni wema lakini...
  7. GREAT NAME

    Nawapenda wote

    Nimewamisi
  8. GREAT NAME

    Tuzo ya mwana JF bora wa mwezi wa 8,ungependa apewe nani?

    Ungependa mwana jamiiforums yupi achukue tuzo ya mwana JF bora wa mwezi wa nane?
  9. GREAT NAME

    Umesoma shule moja na mtu maarufu hapa bongo? Mtaje

    Kama umesoma shule moja/darasa moja au dawati moja na mtu maarufu hapa tanzania mtaje,
  10. GREAT NAME

    Neno la kwanza kumwambia mpenzi wako asubuhi baada ya kuamka ni lipi?

    Neno la kwanza ambalo huwa unamwambia mpenzi/mke/mume wako asubuhi kukikucha ni lipi?
  11. GREAT NAME

    Majina ya kike romantic

    Kuna majina ya kike ni romantic sana yaani ukitajiwa au ukisikia yule mdada anaitwa flani unajikuta hisia zina jiupload zenyewe tu,baadhi ni kama haya hapa, 1: Patricious 2: Rose 3: Hammisa 4: Loveness 5: Latifa 6: Catherine 7: Elisy unaweza kuongezea zaidi,
  12. GREAT NAME

    Taja tabia yako ujue nani ana tabia kama yako

    Kama nilivosema
  13. GREAT NAME

    Ulikuwa kichwa shuleni? Andika neno lenye herufi tatu lenye maana

    Mimi naanza 1: VUA 2: UZI unaweza endelea
  14. GREAT NAME

    Ukiambiwa umtengenezee mpenzi wako kitu kutokana na kazi unayoifanya utamtengenezea nini?

    Mimi nafanya kazi bank nitamtengenezea HELA wewe je?
  15. GREAT NAME

    Yupi kati ya hawa anaweza kukufanya ukaiona ndoa yako chungu, SHEMEJI/WIFI?

    Hamjambo,mambo vipi,shkamooni, Moja kwa moja kwenye #mada,eti katika #ndoa ukiwa na #mawifi au #mashemenga au #wote kwa kwa pamoja watakao kufanya uanze kuona #ndoa tamu kama #mwarobaini kwa #vichokanyoko vyao? nawasilisha #waheshimiwa.
  16. GREAT NAME

    Badala ya kumwambia moja kwa moja muuza duka NIPE COND*M,nimwambie anipe nini?

    Salam wakuu, kesho nina mpango wa kununua cond*m sasa nafikilia nitamwambiaje muuzaji kwa kutumia lugha rahisi badala ya kumwambia direct nahitaji cond%m,
  17. GREAT NAME

    Mwanamke kwa kilugha chenu anaitwaje?

    SISI KWETU ANAITWA MDALA, KIKWENU JE?
  18. GREAT NAME

    Mambo yaliyokuwa yanakuudhi nyumbani ulipokuwa mdogo...

    Mimi nilikuwa nakereka kwa mambo haya: 1: Kurudi home mchana nakuta madha anachambua mboga halafua ananiambia nikawashe jiko na inabidi nirudie shule, 2: Anapita home msichana tunayesoma naye darasa moja hata sijamwongelesha, madha anaongea kwa sauti ya juu 'We hivi leo si ndio zamu yako...
  19. GREAT NAME

    UTATA:HIVI NI KWELI HAWA WATU WALISHA KUFA?

    Kuna watu kadhaa maarufu inasemekana walisha kufa ila bado sijathibitisha kama ni kweli nao ni: 1:mithun chakrabority Huyu kila nikimgoole naambiwa ashakufa, 2:john cena Nasikia alikufa kwa ajali ya gari, 3:ramsey noah Naye wanasema alikufa ajalini, Kuna ukweli wowote hapo wajuzi.
Back
Top Bottom