Yanga fc leo wanashuka dimbani katika uwanja wa majaliwa, lindi kikipiga na namungo fc katika mchezo wa kombe la FA,
_______________
Kipindi cha kwanza kimeisha kwa dakika 46 uwanjani hakuna aliyeonyesha ubabe kwa mwenzie,
_______________
HT NAMUNGO 0 vs YANGA 0
_______________
KIPINI CHA PILI...
Hatimaye baada ya kuchezea kichapo heavy kutoka kwa mnyama simba sport club, Timu ya Yanga fc leo almanusura ipoteze tena mbele ya wauza mbao wa jiji la mwanza Mbao fc baada ya kwenda mapumziko wakiwa nyuma kwa bao moja bila,
Kipindi cha pili Yanga walijitahidi na kupata ushindi mwembamba wa...
Habari za leo,
Hizi dini kwa sasa zimekuwahazivutii kabisa tofauti na zamani hasa hawa wanaojiita walokole.
Wamekuwa na vijitabia vya ajabu ajabu katika maisha yao ya kila siku sio wote ila wengi wao ni wanafiki, wachonganishi, wachoyo na wanapenda kujionesha kwa watu kuwa wao ni wema lakini...
Kuna majina ya kike ni romantic sana yaani ukitajiwa au ukisikia yule mdada anaitwa flani unajikuta hisia zina jiupload zenyewe tu,baadhi ni kama haya hapa,
1: Patricious
2: Rose
3: Hammisa
4: Loveness
5: Latifa
6: Catherine
7: Elisy
unaweza kuongezea zaidi,
Hamjambo,mambo vipi,shkamooni,
Moja kwa moja kwenye #mada,eti katika #ndoa ukiwa na
#mawifi au #mashemenga au #wote kwa kwa pamoja watakao kufanya uanze kuona #ndoa tamu kama #mwarobaini kwa #vichokanyoko vyao?
nawasilisha #waheshimiwa.
Salam wakuu, kesho nina mpango wa kununua cond*m sasa nafikilia nitamwambiaje muuzaji kwa kutumia lugha rahisi badala ya kumwambia direct nahitaji cond%m,
Mimi nilikuwa nakereka kwa mambo haya:
1: Kurudi home mchana nakuta madha anachambua mboga halafua ananiambia nikawashe jiko na inabidi nirudie shule,
2: Anapita home msichana tunayesoma naye darasa moja hata sijamwongelesha, madha anaongea kwa sauti ya juu 'We hivi leo si ndio zamu yako...
Kuna watu kadhaa maarufu inasemekana walisha kufa ila bado sijathibitisha kama ni kweli nao ni:
1:mithun chakrabority
Huyu kila nikimgoole naambiwa ashakufa,
2:john cena
Nasikia alikufa kwa ajali ya gari,
3:ramsey noah
Naye wanasema alikufa ajalini,
Kuna ukweli wowote hapo wajuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.