Kwani walimu wa kawaida hawaondoki kwenda shule zingine ?
Au kwenda kusoma hiyo ni kawaida kama kazi unayo mpe mtu afanye kwani yupo na passion ya kufundisha
Wakuu kuna jamaa yangu yupo mtaani baada ya kufaulu vizuri form four dv 1 na kupata division 2 ya PGM then kumaliza chuo katika fani ya computer science lakini kulingana na changamoto ya Ajira yupo tu kajishikiza kwenye shule moja ya sekondari ya serikali anapiga temporary job.
Na kwa vile...
Kampuni ya Genius notes board advertise inatangaza tenda za lufanya kazi zifuatazo
mtu mwenye stetionary anaitajika jijini mwanza kwa ajiri ya kusaidia katiaka shuguli za ku print ku photocopy na graphic design
photocopying
graphic design
printing and
typing
ambaye yupo jijini mwanza...
Niko na kampuni mpya kabisa nchini inayotarajiwa kufanya kazi ambayo haijawai kufanyika nchini katika sector ya advertising....
naitaji mshirika wa biashara nimpe share ya 50% maana naona kazi zitakuwa nyingi kuifanya iwe tanzania nzima ....
mwenye uwezo wa kushare mawazo na kujua zaidi...
Yaani ni hatari madawa ya kulevya yanatisha sana
Kiukweli Serikali isipochukua hatua tutapoteza nguvu Kazi ya vijana yaani ni majonzi makubwa .
Kama mnakumbuka Daz Baba alivyowika sana wakiwa ndio waanzilishi wa bongo freva kiukweli ni masikitiko makubwa .
Wapeni watoto elimu uko Tanzania acheni ujinga wa kuwanyima elimu ili Ku watawala
Yaani hadi madactari mnawanyima mikopo kama nchi haijafirisika ni nini vilaza mnashangilia kila kitu wakati hiyo pesa yote ni mkopo ambao ni deni la taifa kila mtanzania huko anadaiwa Milioni 1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.