Leo ni tarehe 18 December 2016 lakini sijasikia TRA wamekusanya sh ngapi kwa mwezi november. Imekua ni kawaida kila mwanzoni mwa mwezi tunaambiwa kilichokusanywa mwezi wa nyuma yake. Aliyesikia TRA wakitangaza atuambie ni sh ngapi ilikusanywa
Kama rasimu ilivyopendekeza kutakuwa na wagombea binafsi kwa nafasi zote,
swali: nini kitanyika endapo watajitokeza wagombea 70 kwa nafasi ya urais na 70 kwa ubunge? je wataruhusiwa wote kugombea? vipi gharama za kuandaa mabox ya kura na confusion kwa wananchi kuwatofautisha wagombea?
Kuna haja...
Pin BBC to your taskbar by dragging this icon to the bottom of the screen
Nigeria: Goodluck Jonathan declares emergency in states
Nigerian President Goodluck Jonathan has declared a state of emergency in three states after a series of deadly attacks by Islamist militant groups.
The military...
Exactly kaka lakini hawa hawasikii, tatizo hili mimi nishaambia toka mwaka jana lakini hakuna hatua yeyote, tusiwalalamikie ccm kushindwa ikiwa na sisi tunashindwa jambo dogo kama hili
Usikariri, hili swala ni muhimu kwa chama na sio kuleta kejeli za ki.pu.mbavu, mnachotakiwa kufanya ni kuchukua hatua na sio kuleta mambo yasiyo ya maana, sasa hapo lumumba watalipa kwa lipi? eneza chama acha ushamba wewe
Ni muda mrefu sasa kurugenzi ya habari na uenezi kupitia kwa Tumaini Makene imekuwa ikishauri wa namna ya kutumia kila fursa inayopatikana kukitangaza chama itumiwe ipasavyo, Cha kushangaza ama kwa dharau, au uzembe au ukosefu wa uelewa wa kutosha bwana Makene na maofisa wenzake (Isipokuwa...
TZ daima la kesho:
UDHAIFU WA KIKWETE WAZUA BALAA BUNGENI,
MNYIKA ATOLEWA NJE BAADA YA KUUVULIA UVIVU.
Kufuatia udhaifa wa rais Jakaya kikwete ambao umekuwa ukipigiwa kelele na wadau mbalimbali vikiwemo vyama vya siasa, asasi za kiraia, wasomi mbalimbali na makundi mengine ndani ya jamii...
Mzee mtei hapa umepotoka kabisa, mambo ya kuweka udini kwenye mambo ya kitaifa ndo yanaviathiri vyama vya upinzani kutokana na propaganda za ccm. Ww ulitakiwa ujadili mambo ya kitaifa na sio mambo ya dini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.