Naombeni kufahamishwa,mimi ni mwalimu wa shule binafsi tangu mwaka 2008 nilipangiwa shinyanga vijijini sikuweza kwenda kwasababu nilitakiwa kuwa karibu na mama mzazi aliyekua hospitalini kcmc hivyo miliomba kazi ktk shule binafsi hadi sasa.
Sasa nahitaji kuingia serikalini nitaanzia wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.