Sasa ulimwengu utamjua Yesu ni nani. Lakini vita hivi ni fursa ya Ukristo kuzishinda dini zingine. Laiti tungelimakinika na fursa hii!
Waliokuwa wanamkataa Yesu watamjua Yesu sasa.
Nadhani tangu hivi karibuni, kila dakika kumi Mungu anapokea roho ya marehemu fulani, mhinga wa vita. Ikija roho...
1. Sina cha kuwalaumu Simba katika mazingira yale kwenda kwenye hatua ya upigaji wa mikwaju ya penati sio kazi ndogo. Well done Simba. Wapewe maua yao
2. Simba inahitaji marekebisho ya kiusajili. Wanapokwenda kusajili kwa Msimu Ujao waache kutafuta Yanga inataka kumsajili nani wamuaharibie bali...
Nyumba nzima inapangishwa maeneo ya mbagala sabasaba nyuma ya Tayma hospital mita10 kutoka stend ya mwendo kasi na kituoni
Sifa ya nyumba
1. Nyumba ina vyumba 6
2. Vyumba vya kulala 3 kimoja ni master
3. Vyoo na bafu ni vya ndani
3. Jiko 1
4. Sebule moja kubwa
5. Maji na umeme unajitegemea...
Wapendwa Taifa la Mungu, Mafrateri hawa (pichani chini ) walitekwa na watu waliokuwa wamejihami kwa silaha walipovamia Seminari kuu ya Mchungaji Mwema (Good Shepherd Seminary) iliyopo Kaduna huko Nigeria usiku wa tarehe 08 Januari 2020.
Tangu kutekwa kwao, watekaji wamekuwa wakiwasiliana na...
Habari za muda huu ndugu zangu Nauliza mother board ya hii computer nitaipata wapi kwa hapa dar
Lenovo L420 thinkpad
Processors corei3
Kwasasa nipo dar as salaam
Jana nilitumia computer kwa muda mrefu kidogo ingawa ni kawaida yangu kutumia hivyo..
mara ika zima ghafla, nilipoiwasha ikazima nimeiacha mpaka asubuhi, nimeiwasha tena ikaenda mpaka mwenye window (starting up) ikazima mpaka sasa..
Hakuna beep sounds inapowaka, kwa sasa hata taa zile za...
Habari ndugu zangu
Mimi ni mhitimu wa elimu ya shahada(degree) ya uwalimu wa masomo ya physics na computer science
Kwa yeyote mwenye anayo nafasi au anajua nafasi ya kazi ya ualimu wa physics kwa olevel au Advance.
Pia kwa computer nafundisha microsoft office package yote...
Habari ndugu zangu
Kwa yeyote mwenye anayo nafasi au anajua nafasi ya kazi ya ualimu wa physics na computer science kwa o-level au Advance mwalimu napatikana.
Mimi ni mhitimu wa shahada ya uwalimu kwa masomo ya PHYSICS na COMPUTER SCIENCE na Kwasasa nipo dar es salaam.
na nipo tayari kufanya...
Wapendwa Wahitimu Kidato cha Sita 2018,
Kwa Heshima kubwa, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kinawapongeza sana kwa kuhitimu masomo yenu na kufuzu vizuri kupitia matokeo ya mtihani yaliyotangazwa hivi karibuni na NECTA.
Tunapenda kuwatangazia wale waliopungukiwa sifa kidogo za kujiunga moja kwa...
Habari za muda huu ndugu zangu.. poleni na swaumu kwa wale ndugu zangu waislamu..
Nimeandika codes za website kwa kutumia HTML na CSS (static website) na natamani nizifanye kuwa dynamic website kwa kutumia PHP naombeni ushauri ndugu zangu nini nifanye na nini niongeze Ili HTML/CSS codes ziwe...
KIBWAGIZO CHA JUMA KUU NA PASAKA
-MOYO WA YESU UNAKARIBIA KUPASUKA KWA JINSI TUNAVYOMTESA SIKU HIZI
_Padri Titus Amigu_
Mniwie radhi sana ninapotumia lugha hii ya picha ambayo hoja yake inaweza isilingane kwa asilimia mia na mafundisho msingi ya imani (dogma).
Lakini siwezi kuuzuia mkasa...
Kuna ujumbe umetapakaa kwenye social networks wa Mr. Mbasha.
Je ujumbe huu umemlenga nani?
Nini dhumuni lake hasa la ujumbe huu kwa muda huu?
Kwanini kautoa ujumbe huu sasa?
Habari zenu ndugu zangu.. Nina rafiki wa Karibu mwanaume mwenzangu na tupo wote Chuo kimoja aliniomba ushauri na me nikaona isiwe vibaya kuja huku JF coz Naamini kuna watu wenye hekima na busara na wanaweza kumsidia huyu rafiki yangu..
Rafiki yangu anampenzi wake na wamedumu kwa miaka miwili...
Habari za wakati huu ndugu zangu.
Mwenye kujua(uelewa) juu ya degree za nje ya nchi (nikiwa hapa nyumbani)na jinsi zilivyo (hapa namaanisha faida na hasara zake pamoja na ugumu wake) ili nipate mwanga.
Asanteni na Mungu awabariki nyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.