HIVI unamaanisha ni viugum kumsahau E.N.L wala si ngumu kumsahau mbona tumeshamsahau huyu mtu na wala haihitaji kutumia nguvu nyingi kuwaelezea watu alichokuwa akikifanya watu watajua tu ama wanajua......kila la heri endelea kumkumbuka mkuu
ndugu yangu hawa hawezi kumchukua zzk kwani ni mtu ambaye yuko chadema kwa maslahi ya ccm ndiyo maana wanalilia msimtoe huyo suluhisheni tu yataisha hayo.kwani hata yasipoisha sisi ndiyo tutakaoumia nyie mnakerwa na lipi??
mgogoro unawahusu CHadema,Ccm hawa ni wapinzani kwanini Ccm wanataka tusuluishe yaishe wakati wao yasipoisha kwa CHadema wanatakiwa wafurahie kwani wanaamini chama kuvunjika.kwanini mnataka tupatane na zzk kama hamna maslahi yenu na zzk anapokuwa chadema?
Mkuu hapo umenena hakika nami nahisi huyu jamaa amekumbwa na ile issue ya magari ya Dandho katimuliwa huyu pia hatutakushangaa sana kwakuwa unaonekana ni kambi ya E.l lolote afanyalo kwenu hamuwezi likubali ila tupo tunaweza kuona na kuhisi kuna kitu cha tofauti
Hatutaki kumsifia mtu kitu asichokuwa nacho kwani haya majembe yangu popote yatakapokuwa
yanafaa kwa kazi na kazi yenye tija.nitawapigia kura yangu katika chama chochote
wewe una chuki binafsi wala si ya maendeleo uyasemayo.
Treni kutoka ubungo hadi stesheni inatumia hardly daika 45.lina behewa...
Hongereni kwa maelezo ya kutosha kwani hayo maelezo yenu hayakuhitaji mtu yeyote aje ayajibu wala kukanusha
kipekee nimeshangaa mzee Wasira akijikanyaga eti kuwa akina Esther na mwenzake si watoto wangu bali ni watoto wa kaka yangu.Safi kwa uamuzi wenu mliouamua always AIM HIGHER@ M4C
Ninaendelea kulikumbuka Azimio la Arusha.sioni ubaya wake ila mle kulikuwa na miiko ya uongozi
lakini mliamua kukataa muwe huru haya ndiyo yanayotokea sasa.tusijilaumu kwani kupanga ni kuchagua
Jamani huyu muhusika amefahamika tayari na atatakiwa awataje wenzake.tumeweka vizuri utetezi wetu kwani lazima
atatakiwa kwenye vyombo vya sheria.twahitaji majina yake yote na yuko wapi kikazi na kitengo chake.kwani
kwa unyama huu alioufanya huyu ni wa kunyongwa tu.uzuri kama Dr mwenyewe...
ok bwana kila mtu na maoni yake unaona anafaa lowasa mpe kura yako,si ndiyo uhuru/haki
ya kila mtu wa kikatiba.ila mimi naona kama watamsimamisha wasira(tyson)huyu atatufaa zaidi.ccm
tufikirie zaidi juu ya hili.
Kwani mnahitaji hela kiasi gani ndugu yangu sidhani kama nikikubwa kiasa kwamba serikali kushindwa kuwalipa.kwani safari moja ya JK (msafala wake wa Brazil alitumia Tsh 251mil safari moja tu.sina data kamili kwa mwaka mzima huu amesafiri mara ngapi utapata majibu.yeye anatanua huko nyie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.