Don't take it serious mkuu we are just refreshing mind,life is too tough we are trying to share different ideas.at the end Kila mtu ana mtazamo wake Kuna mtu hapendi kuoa msomi Kwa mtazamo kuwa atamsumbua pia Kuna anayetaka kuoa msomi mwenzake pia Kwa maana watakwenda sawa,ambacho nakuona Mimi...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaah ukweli mtupu wako honest kweli Kuna rafiki yangu alikuwa na mpenzi mzungu Kuna siku alimuomba hela akamjibu usiwe kama wanawake wanaopenda hela ,hela ya kukupa sina ila km unahitaj kuja UK nitalipia tiketi ya ndege 😂😂
Shame on you,ulishindwa kudate na mtu angalau kuanzia miaka 25yrs ,mtu mzima kama wewe unatoka na vitoto vidogo hivo,utavuna ulichopanda,ninyi ndo mnatuharibia watoto wetu ,afu wa kwanza kuja kuleta majukwaa ya single mother na kuwananga,😥😥😢😢Ninyi wababa sometimes muwe na huruma jamani mweeeee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.