Hello wadau, nafahamu hapa nipo mahali sahihi kabisa. Mimi ni mwl wa geography, nahitaji kama kuna walimu wenzangu humu hasa kwa private schools tusaidiane namna ya kupata papers na kutungiana mitihani kama utawezekana, au pia kubadilishana mitihani toka katika shule mbalimbali. Kama wapo...
Habari zenu? Hope mu wazima!!
Binadamu tuna mawazo tofauti sana, namaanisha kila mmoja ana namna Mungu alivyomjalia hekima.
Ninaomba mnipe ushauri wa kumshauri huyu mtu maana hadi sasa analia tu.
Main body: Nina jirani yangu wa kike ambaye sahivi ni kama rafiki kabisa kwangu. Kuna kaka...
Habari zenu wadau,
Straight to the point natafuta frame kwa ajili ya restaurant hapa Dar, hasa maeneo yenye watu wengi au watu wengi wanapokutanika.
Tafadhali naomba msaada wenu wadau nianze ujasiliamali maana monthly salary haifui dafu kwa maisha yangu.
Natanguliza shukrani.
Habari zenu wapendwa?
Namtafutia kazi kaka'ngu, ana diploma ya tourism na pia amejifunza driving.
Amekaa mtaani siku nyingi plz naombeni msaada wenu juu ya hili kwa anayeweza nisaidia.
Habari zenu wapendwa?
Naomba kwa wataalamu wa hivi vifaa, maelezo au specification ya hizi computer tafadhali. Nahitaji PC nzuri, naomba msaada wenu plz.
Hello,
Hope mnaendelea vyema, naomba kujua namna ya kutafuta au nitapataje scholarship nje ya nchi hii ya tz hasahasa nje ya Africa au hata ikiwa Africa yenyewe.
Plz, mwenye ujuzi naomba anisaidie. Nimehitimu bachelor ya education this year.
Habari zenu?
To cut the story short, kuna rafiki yangu ( msichana) ana mchumba wake, takriban miez miwili sasa. Tatizo yule kaka haeleweki ( maneno ya mlalamikaji), yaan kama vile yupo hayupo,
Akimuuliza kwann yupo hivyo, kaka anasema amekaa nje ya mahusiano tangu 2011 kwa sababu mchumba wake...
Hello, habari zenu wapendwa? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nilikua na mchumba angu (sio mpenzi na hatukuwahi kukutana kimwili) ambaye tumedumu kwa miaka miwili, hatukuwahi kugombana wala sikumfanyia kosa lolote kwa mtazamo wangu, nilimjali kwa kila kitu hadi marafiki zake wakawa...
Wapendwa, habari zenu? Poleni sana kwa majukumu.
Naomba kusaidiwa, soko la matango kwa mwezi wa December nitafanikiwa?
Nimepata shamba tayari na najua gharama zake si kubwa kiasi hcho, naombeni ushauri au ufahamu wa zao hili tafadhali.
Mungu awabariki na abariki pia kazi za mikono yenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.