Kama kweli tatizo ni kitanda kupiga kelele wakati wa kujamiiana, akitengeneze au nunua kitanda imara.
Afike nyumbani kwa bashasha, aanze rom na mkewe sebuleni, amfate jikoni, yaani mahaba km yote wakati wowote. Aishi maisha yake na afanye wajibu wake.
There is no dangerous information than misleading information. Fyi huyo mtoto pengine ana idea au anajua mchezo mzima anataka confirmation toka kwa mtu anayemwamini.
Kwa hiyo mtoto akikua utamwambia ulimdanganya kuua curiosity yake?
Tunaweka negativity hata kwenye malezi tukitegema tuwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.