Mwenyezi Mungu amrehemu,
Angetufariji
Angefanya tujiamini sana hata kwenye hatari
Angetuaminisha kuwa Mungu anatupenda sana sisi kuliko wengine (hili ni jambo jema sana)
Angezitajirisha nafsi zetu kwa kutuwekea wazi utajiri tulionao nchini
Pia angetutangazia faida kubwa imepatikana tangu...
Habari wana jamii
Namshukuru sana Mungu mpaka sasa sijaugua corona ingawa wataalamu wanasema unaweza kuwa nayo bila kutambua kutokana na uimala wa kinga yako.
Hata hivyo katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, corona imenigalagaza na kunichapa kimaisha vibaya sana.
Mimi ni miongoni mwa...
Mkuu ,kituo kinajengwa kati ya barabara moja na nyingine, kwenye tuta linalotenganisha barabara ya kwenda na ile ya kuludi.Sehemu hii tulizani hakuna makaburi cha kushangaza kila tukichimba tunatoa masalia ya watu. Yaani hata yanapopita magari sasa hivi, chini kuna makaburi hayajaondolewa.
Eneo lile lilikuwa na makaburi kabla ya kupitisha Barabara pale. Magari yanapita juu makaburi. Kwa kipande kidogo tulichochimba kwa ajili ya kujenga kituo tumekuta makaburi mengi tu. Mifupa na mafuvu tumeacha mlemle chini na ujenzi unaendelea.
Pale mbagala kizuiani kuna mgomo wa wafanyakazi wa kampuni ya sino hydro, wanaojenga barabara ya mwendokasi ya kilwa load. Wana siku ya tatu wakigoma kushinikiza madai yao.
Ila asubuhi ya leo walifika polisi wakiwa na silaha,bila kuuza chochote kutoka kwa wafanyakazi wakaanza kuwavulumishia...
Kwanza achaneni na kesi ya Mbowe kuwa kama jambo muhimu la kugalimu nguvu kubwa ya chama.
Ni wakati wa kupanga upya safu ya ongozi wa chama tena kwa kuweka sura mpya ili kuvuta hisia za wananchi na kuwajaza matumaini mapya juu ya chama.
Taratibu CCM ya 2015 kuludi nyuma inalejea, na chuki ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.