Habari wafa,
Kuna mtu amekuja na gari Kutoka South Africa nimeipenda nataka kununua. Naomba kujua nikitaka kuibadili namba zake za usajili zisomeke za Tanzania gharama zake zipoje na utaratibu wake upoje
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Habar wandugu
Napenda kuuliza Hivi group la damu la mtoto linatokana na baba na mama magroup Yao ya damu au?
Kwa mfano kama baba na mama ni b positive mtoto group lake linakuwa ni lipi?
Ningependa kupata maelezo kwa magroup yote ya damu na mtoto anakuwa na group gani.
Asanteni
Habari ndugu zangu,
Mimi ni mwanaume nipo kwenye ndoa kwa mwaka wa pili now but mke wangu tumekuwa kwenye uchumba sugu kwa miaka kama minne. Tatizo mke wangu ana ndugu yake wa kiume undugu wa mbali wana mawasiliano ambayo yananipa wasi wasi sana.
1.Almost kila siku lazima wapigiane simu usiku...
Habari za Mchana wadau,Tafadhali naomba kujua gharama za matibabu nchini india kuondoa uvimbe kwenye ubongo.
Note;Nina Mdogo wangu umri ni miaka 8 ,alikuwa na tatizo la kudondoka na kupoteza fahamu,Baada ya tatizo kuzidi kuongezeka ,kama familia tuliamua kumpeleka hospital kwa ajiri ya...
Habari wadau
Wadau kuna namba imenitumia sms kwenye simu kupitia wasapps ikiniambia number yangu imechaguliwa na kushinda zawadi ya cash naomba ushauri kwa mtu ambaye anajua haya mambo isije kuwa ni matapeli
Habari za jioni wadau,
Baada ya kufanya kazi kwa muda mreu na kutafuta mtaji wa biashara,Nimeamua kujiajiri na nimeazimia kufungua biashara ya spare za magari.
Naomba kujua kwa wenye uzoefu na hii biashara mtaji wa 15,000,000 Tanzania shilingi unaweza kuanzia na je nikitaka kuchukua mzigo...
Habari zenu wadau ,samahani hawa jamaa wa Danida -ubalozi wa Dernmark walitoa tangazo la nafasi ya kazi post ni Accountant ,Naomba kama kuna Mtu ana any feedback aniambie.
Habari za usiku ndugu zangu
Mke wangu anapenda sana kukasirika bila sababu za msingi, hivi hii inaweza sababishwa na kitu gani?
Nimekuwa namshauri kila siku kubadilika kuacha kuwa na hasira haelewi nisaidieni ndugu zangu kuna kipindi nawaza labda kuna mtu anampa kiburi na labda ni mjamzito...
Wadau naweza kupata msaada kijana wangu amechelewa kufanya interview kwenye hizo shule naweza pata msaada ili aweze kuingia kati ya hizo shule mbili au seminar yeyote au shule zuri ya wasichana kwa masomo ya science amepata div 1.16 akiwa na amefaulu kiwango cha B kwa masomo ya...
Ndugu zangu wadau naomba kujuzwa shule nzur kwa ajir ya wasichana iwe ya boarding na combination za science ,kuna kijana wangu nataka nimtafutie shule amefaulu masomo ya science amepata div 1.16,naomben msaada wenu wana jamvi
wadau mambo vipi hawa jamaa wa aga khan foundation walitoaga nafasi mbali mbali mtwara, vipi walishaita watu kwa ajil ya interview naomba kujuzwa kwa anayejua
Wandugu mm ni mpenz mkubwa sana wa movie hii movie nimejaribu kuitafuta but sijaipata kama kuna mdau anajua jinsi ya kuidownload for free anilekeze link jaman naomba msaada.
waandugu naomba kuuliza kama kuna mtu anajua kuhusu hii kitu anisaidie nimeomba kzi sehemu wameniambia nitupe na ips ambay kirefu chake ni hicho hapo juu,n hiyo huduma unalipia kwa anayejua anisaidie international job lazima utume hiyo ips
wadau habar zenu naomba kujua hwa jamaa wanaitwa agha khan univesity mshiko wao umekaaje kwenye post ya assistant accountant,naombeni kujua wadau bt mnisaidie wadau msinshambulie sana aminia jf the great thinkers
habar zenu wadau kuna ngo moja inaitwa heifer international walikuwa wanahitaji project accountant mwenye info anijuze kama walishaita watu kwa ajili ya interview.
naomba kuwasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.