Nimepata nafasi ya kusoma hiyo hukumu; ni uzembe tu wa petitioners kutoa ushahidi, na pengine wakili wake alaumiwe;
1. Kwamba mtendaji alikamatwa na matokeo feki na Mpendazoe kwenye Amended Petition alisema ana ushahidi wa CD ambao angeuleta Mahakamani, lakini hakuupeleka.
2. Kwamba kuna kijana...
Wana JF,
Mimi nashangaa kwa wale wanaoamini kuwa JK na CCM yake anaweza kuwawajibisha mafisadi. Tatizo si hao watu wanaopewa nafasi, bali ni mfumo. Haiwezekani tena ni ndoto ufisadi ukaisha chini ya CCM.
1. CCM walichota hela BoT (EPA) zilizomwingiza JK magogoni, kwa hilo ana mbavu gani ya...
Magamba bwana! Umesahau kuwa JK wakati wa kampeni aliwaambina wanasingida kuwa "Ni bora dr, slaa awe Rais kuliko Tundu Lissu awe Mbunge". Analia akikumbuka hayo pia! Aliyefuatilia kesi anajua jinsi Chiligati alivyokuwa anashikiriana na Mrema mchana na usiku ili wamwindoe Lissu kwa mashahidi Fake...
Magamba at work! Hivi wewe unamjali sana mwekezaji wakati wana wa nchi hawana ardhi? Ukifikiria Kimagamba ni matatizo mtupu, kwani si Mlimtuma EL kuwa angechaguliwa mkwe wake mngerudisha Ardhi? Wacha wananchi wachukue hatua
Jamani Dr. Banna naye si ni kiraza tu! Kuiwajibisha serikali haimaanishi kuishinikiza. Kwani hafahamu kuwa kazi ya Bunge ni kuisimamia serikali? Isipowajibika, Bunge huiwajibisha. Hiyo ndiyo separation of powers. Anategeme NEC au CC ndo iiwajibishe serikali? Watu wengine PhD zao sijui wamezitoa...
Ingependeza mngeomba kwanza ushauri wa kisheria kabla hamjawajadili hao! Lulu's case is a very simple case. She just needs wakili makini. She is innocent until pronounced guilty - Art. 13(6)(b) ya Katiba. Waandesha mashtaka wameshaanza kuchemka kumfungulia mashtaka ya "murder" hali wakijua...
Ingependeza mngeomba kwanza ushauri wa kisheria kabla hamjawajadili hao! Lulu's case is a very simple case. She just needs wakili makini. She is innocent until pronounced guilty - Art. 13(6)(b) ya Katiba. Waandesha mashtaka wameshaanza kuchemka kumfungulia mashtaka ya "murder" hali wakijua...
Bahati mbaya umeingia kwenye mtamdao wa watu wenye fikra makini ambao hawawezi kuyumbushwa na upuuzi wako huo! Umetumwa au umerogwa! Tunajadili mambo ya msingi humu si umbeaumbea wako.
Nadhani Serikali inacheza na afya za Watanzania. Mgomo wa madaktari is about "attitude". Huweza ukabadili "attitude" kwa order ya Mahakama. Watarudi kazini, sawa, lakini huwezi ukawaamuru wafanye kazi kwa ustadi unaotakiwa kama hujawabilisha "attitude" yao juu ya kile wanachokipigania. Mahakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.