Search results

  1. mpya9

    Video: Mwananchi wa kawaida ni akina nani?

    Kasumba iliyopo kwa baadhi ya watu hasa viongozi kutumia maneno "mwananchi wa kawaida" imepelekea kuzalisha mitazamo isiyo mizuri na imetengeneza mianya kwa baadhi ya wanasiasa na wachumia matumbo kutumia maneno haya kama njia ya kujiopolea faida za kiuchumi na za kisiasa. Sasa kwenye video hii...
  2. mpya9

    Usalama wa taarifa zetu mtandaoni

    Hivi ulishawahi kujiuliza waganga au matapeli wanatoa wapi taarifa zetu? :eek:lol unafahamu kila unapojiunga na kuipa ruhusa mitandao ya kijamii unajitengenezea mtandao usioujua ambao mwisho wa siku unaweza kutumika na watu wenye utaalamu wa sayansi ya kompyuta kukubaini wewe ni nani?, upo...
  3. mpya9

    Elimu inakufa, Mfumo wa Ajira unaelekea KUZIMU, Mawaziri WAMESUSA, Tunaelekea wapi wadau ?

    Naona mawazo hayo yanaelekeana na haya kwenye hii video inasikitisha hali tulionayo kwa sasa tunaelekea Zimbabwe.
  4. mpya9

    Historia ya Fursa

    Hello! Habari!! Leo nakuja kwako na historia ya fursa Fursa ni nini? Fursa ni pungufu lolote ambalo unaliona katika jamii yako au kwa mtu yoyote na kuweza kulipatia suluhisho. Hivi unafahamu kuwa biashara zote duniani zimeanzishwa/zinaanzishwa kwa msingi wa falsafa moja tu ambayo ni "uzembe...
  5. mpya9

    Download/stream movies+TV Series bure kupitia sites hizi[UHAKIKA]

    Yaaaaap kwa wale wapenzi wa TV Series na movies kupitia websites hizi inakuwa rahisi mno kudownload/kustream TV Series bureeeee! Kupitia websites hizi utaweza kudownload TV Series zaidi ya 2000+ zakizungu, zakihindi, zakichina, zakikorea pamoja na documentaries kutoka mashirika makubwa ya...
  6. mpya9

    The value of life

    .
  7. mpya9

    DUNIANI TUNAPITA

  8. mpya9

    Jinsi ya kutayarisha chumba cha mtoto (Nursery)

    Kujiandaa kwa ujio wa mtoto ni kuna changamoto zake. Mtoto ni vema akawa na chumba chake ili kumjengea hali ya kujitegemea akiwa angali mdogo na pia kurahisisha uhifadhi wa vitu vyake bila kuchanganyika na vya wengine. Chumba cha mtoto 'Nursery' inatakiwa iwe comfortable na pia ya kisasa na...
  9. mpya9

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    The Magic of Thinking BIG-David J. Schwartz Kitabu hiki kimebadili maisha yangu kuanzia mtazamo na utendaji wangu kazi. Kama kinavyoitwa The Magic of thinking BIG kinasihi kujiwekea malengo makubwa na kujiongeza kwa yote yaliyo mazuri, na kufanya mambo kwa UKUBWA na si tu ukubwa bali weledi...
  10. mpya9

    #STREETSMARTS with Nikki wa pili

    Kwenye video hii nakuangazia msanii wa mziki wa Hiphop Tanzania Nikki wa pili akiongelea masuala mazima ya ubunifu, elimu pamoja na mambo mengine yanayohusu maendeleo ya jamii. SUBSCRIBE, SHARE NA COMMENT kujumuika nasi Shukran!
  11. mpya9

    LEO TUNAENDESHA NDEGE

  12. mpya9

    Tetesi: Matukio 10 yaliyowahi kuikumba Kagera.

    Katika kupitia historia nikakutana na haya: * watu wa Kagera walianza kufua vyuma takriban miaka 2000 nyuma, na ufuaji wao vyuma pamoja na utengenezaji wa vyombo vya udongo upo tofauti na ule uliokuwa ulaya ama nchi zinazotajwa kuwa na maendeleo ya viwanda. Kwa hivyo basi kama civilization...
  13. mpya9

    Tatizo la Rais Magufuli ni hili

    Duh!
  14. mpya9

    Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

    Umeongea kabisa!
  15. mpya9

    Adhabu za Wanafunzi Juma Nature alituonya

    Sir Nature moja ya wasanii nnaowakubali nchini mwetu hivi umewahi kusikia ile nyimbo ya dogo....totoidi?
  16. mpya9

    Em' tukumbushane tamthilia za zamani

  17. mpya9

    JIFUNZE LUGHA YOYOTE ILE kwa mda utakao(Secret formula)

    Angalia video hii kisha fuata maelekezo: *vigezo na masharti kuzingatiwa(lol)
  18. mpya9

    Sumu inayosambaa mitaani dhidi ya Magufuli, Mungu ingilia kati

    Courtesy of 2020. Kuna movie moja linaitwa fiftefifte naona linachezeka nchini.
  19. mpya9

    Tangu akamatwe Scorpion, Mshana Jr hajaonekana JF

    Naona mnaweka attendasi.lol
Back
Top Bottom