Kabila hutokana na mazingira pia. Muhaya yuko jinsi alivyo kwa kuwa mazingira ya Bukoba yalimfanya awe hivyo. Sasa kahamia Darisalama na amezaa watoto unadhani watoto wale watakuwa watu wazima wa Kihaya kamilifu? Hata ulaya walikuwa na makabila kama sisi lakini nyakati haziko tena kama zama hizo...
Its about time tukafanya hivi kwa kila kitu na sio kwa huu mchanga tu. Serikali izuie exports za raw produces kama pamba, kahawa, korosho, mahindi etc.
Inga Dam
The Grand Inga project, if completed, would be the largest hydro-electric power generating facility on Earth. The current project scope calls for the use of a flow rate ~26,400 cubic metres per second at a net head of ~150 metres; this is equivalent to a generating capacity of ~38.9 GW.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.