Search results

  1. E

    Kuagiza ama kuuza mizigo (Internatianal trade)

    okay Dr labda sijaeleweka nachojaribu kutafuta ni watu wenye mizigo aina mbalimabli wanao taka kununua ama ku uza huko Korea , china ama U.S. Mfano nilitegemea mtu aseme “Nina maindi tani 60 naweza uza?/ nina kuku laki 8 / nataka niagize Apple za korea n.k” Nimeuliza hivyo maaana mizigo aliosema...
  2. E

    Kuagiza ama kuuza mizigo (Internatianal trade)

    Habari za muda wanajukwaa. Mimi nina rafiki yangu aliepo Asia (korea) wakati wa kujadili Idea za hela akaniambia yeye anafanyaga pia International trade. Akaniambia kuwa maaana yake ni yeye ni mtafuta masoko wa kimataifa anatuma mizigo kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine ama bara jingine...
  3. E

    Onyesha vifaa vyako vya kazi

    Habari unaeza uka nipa Quotes na bei za bizne yako?
  4. E

    Nilichomfanyia dada wa masaji hatosahau

    Baby tuondoke hapa!
  5. E

    Mawazo kuhusu biashara ya Bahasha za khaki / Paper Bags

    Habari? Jina Langu ni Mr Equator. Ni kijana ambaye najaribu kuyatafuta maisha. kwa njia mbali mbali. Nimekuwa nikitafuta wazo la biashara ya pembeni (Side-hustle) ya mtaji kati ya Laki 1-2. Kwenye pita pita zangu nimepata wazo la biashara ya bahasha na nika angalia video baadhi Youtube. Nika...
  6. E

    Mrejesho: Haya ni matatizo mbalimbali tuliyoyagundua katika baadhi ya nyumba zenye tatizo la bili kubwa ya umeme

    Asante kwa huo mchanganuo! Nimependa uliposema "daaah nilishangazwa na ile starehe." Hapo nina maswali matatu. 1 Nini kilikua chanzo kikubwa cha kununua mashine ni pesa zipo ama uliona kufua ninkazi? 2 Lakini pia kwenye auto umesema inakula maji je na semi-auto? 3 Ulipitia mchakato gani kuja ku...
  7. E

    Mrejesho: Haya ni matatizo mbalimbali tuliyoyagundua katika baadhi ya nyumba zenye tatizo la bili kubwa ya umeme

    Kuna utofauti gani kati ya automatic na semi_auto? Nina rafiki yangu akiskia kuhusu washing mashine anatamani kulia kwa inavyo kula umeme na maji! Aliokuwa anatumia ni Full-auto . Zina tofauti za watts? Ama ni ufuaji? Na kuhusu sabuni ya kufulia inakuaje unatumia detergent gani je ni kweli...
  8. E

    Mrejesho: Haya ni matatizo mbalimbali tuliyoyagundua katika baadhi ya nyumba zenye tatizo la bili kubwa ya umeme

    Asante kwenye matumizi ya umeme unadhani itakua ni la kutisha sana? Ama ipo Reasonable? Lakini pia makampuni ni yapi hapa Bongo nimeyaona ya von , delta na kampuni ambazo sijawai sikia!
  9. E

    Mrejesho: Haya ni matatizo mbalimbali tuliyoyagundua katika baadhi ya nyumba zenye tatizo la bili kubwa ya umeme

    Yeah sorry ni semi-automatic. Nlitaka kitega uchumi ambapo ntaweza kufua nguo labda 80 kwa siku! Hapo pia kutakua na mchanganyiko wa mashuka mapazia na ma blanket haya ya kilo 4-6. Kifupi ni nguo za watu wa kawaida nataka kuwafanya kuwa soko langu!
  10. E

    Mrejesho: Haya ni matatizo mbalimbali tuliyoyagundua katika baadhi ya nyumba zenye tatizo la bili kubwa ya umeme

    Habari @The hitman @mng'ato na mtoa Mada yani @Transitor na wengine wote ningependa kujua zaidi kuhusu "Washine Mashine" Nina mpango wa kupangisha single room na nataka kununua washing-mashine ya Kg 7-9 zile za manuall ambayo nataka niwe natumia kufua nguo zangu na pia niwafulie na watu ki...
  11. E

    Sijaolewa kwasababu "ndoa za watu zinanivunja moyo"

    Naomba nikuulize Sexless Umeona magari mangapi kwenye parking ya Breakdown yale yalio haribika kindakindaki? ,Lakini bado una ndoto za kununua gari! Umeona simu ngapi kaliii zipo kwa fundi zinatumika kama skrepa ? Lakini bado unataka kupata simu kali hata inaweza isiwe kama ile! Umeona...
  12. E

    Hadithi: My Soulmate

    My soulmate / Mwenzi wa roho yangu. Sehemu ya 27. Somalia kwenye kikosi cha M16: Gari lilisimama akashuka mkaka mmoja ambaye alionekana kuwa wa kupendeza na mtanashati. Akashuka mdada mwingine ambaye ni mrembo kweli kweli mwenye umbo la kuvutia na kupendeza. Wakaka wa kambi hiyo pindi walipo...
  13. E

    Hadithi: My Soulmate

    My soulmate .Mwenzi wa roho yangu Sehemu ya 26. Ndani ya ofisi ya Sambeke inc: Braiton alitoka nje kuongea na simu ya Anitha. Anitha : Mambo Braiton? , Mpenzi wangu!. Braiton : Poa mambo Anitha mzima?. Anitha : Mimi mzima lakini kwanzia juzi jumamosi sijaku ona!. Braiton : Kwa hiyo umeanza...
  14. E

    Hadithi: My Soulmate

    Asante benybeny.
  15. E

    Hadithi: My Soulmate

    Unajua hata moneypenny anapenda kulitaja neno soulmate sasa hadithi ipo huku lakin hajitokezi!
  16. E

    Hadithi: My Soulmate

    Unakata kivipi!?
  17. E

    Hadithi: My Soulmate

    POa poti!
  18. E

    Hadithi: My Soulmate

    Sijakwelewa!
Back
Top Bottom