Search results

  1. Denis Alphonce

    Ufaransa kuivamia Niger itakuwa ni habari mbaya sana kwa Afrika

    acha ushenzi Russia aliitawala Niger Russia anaenda kuwa mshirika muhimu kwa niget Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
  2. Denis Alphonce

    Guinea military junta chief orders shut down of AngloGold Siguiri mine

    amin kilicho na mwanzo kina mwisho Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
  3. Denis Alphonce

    Ijue USA kwa namna nyingine (Details about USA you don't know)

    katika uchumi kuna kitu tushakisoma kinaitwa (HIDDEN POVERTY) Ni njia ambayo serikal nying inaitumia katka hii issue case study nzur ni UNITES STATE OF AMERICA . Kama mataifa mengine USA masikin pia wapo lakin unaambiwa mabadiliko ya kimaisha ya mtu masikin ni makubwa .Yaan mwaka hadi mwaka...
  4. Denis Alphonce

    Niger.Serikali Ya Mpito yamteua Waziri Mkuu Mpya Mahaman Lamine

    ww n shabik unajua mambo kijuu juu lakin amin itafahamika Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
  5. Denis Alphonce

    China na Urusi waizungukia Marekani kutoka Alaska

    tafsiri yake n uchokozi. ukiona adui anakuja kukufanyia vimbweka kwako basi jua kashakuona huna la kumfanya. USA yy always yupo above the law ,China na Urusi nao wanadhihirisha wapo above the law. Lakin ukishaanza kuona hivo ujue mambo hayajakaa sawa kama hawatatumia diplomacia usalama wa...
  6. Denis Alphonce

    Enrique Iglesias vs Ed Sheeran

    wazee bruno mars anaimba Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
  7. Denis Alphonce

    Ni kweli mumble rap ndo chanzo cha hiphop kupoteza mashabiki

    for sure hapo ni Jigga(jay z) labda kidogo Eminem Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
  8. Denis Alphonce

    Ni kweli mumble rap ndo chanzo cha hiphop kupoteza mashabiki

    Ni jay Z pekee anae fit kote Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
  9. Denis Alphonce

    Ni kweli mumble rap ndo chanzo cha hiphop kupoteza mashabiki

    goodlkid na Cole hawana baya Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
  10. Denis Alphonce

    Ngoma kali za Rhumba: All the time Old is Gold

    Monica seka huyo Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
  11. Denis Alphonce

    Wadukuzi wa Korea Kaskazini wadukua kampuni ya silaha ya Urusi

    huna sababu ya kumuelekeza chizi unapoteza muda Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
  12. Denis Alphonce

    Wadukuzi wa Korea Kaskazini wadukua kampuni ya silaha ya Urusi

    tupe update za kwenye battlefield Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
  13. Denis Alphonce

    Vita vya Urusi na NATO kupanuka mpaka Afrika Magharibi nani atashinda?

    ushindi wa vita anaamua mungu usisahau hii Daudi Vs Goliath
  14. Denis Alphonce

    Vita vya Urusi na NATO kupanuka mpaka Afrika Magharibi nani atashinda?

    @HIMARS huna unaloelewa ktk ulimwengu wa uchumi kuwa na currency yenye thaman so kuwa na uchumi mkubwa kk .value ya currency ina impact moja kwa moja kwnye biashara za kimataifa
  15. Denis Alphonce

    Vita vya Urusi na NATO kupanuka mpaka Afrika Magharibi nani atashinda?

    kama unataka kuelewa analyse mawazo ya watu usiwe conservative kushikilia iman yako. Mrusi Alisha forecast maybe patakuwa na battle kubwa zaid ya hata Ukraine unatakiwa ujipange kuangalia stock ya silaha unazokuwa nazo usije zubaishwa ukraine mbelen ukachapika. kama umefuatilia vema habar...
  16. Denis Alphonce

    Vita vya Urusi na NATO kupanuka mpaka Afrika Magharibi nani atashinda?

    ni nchi kubwa mambo yamekaa vibaya mno USA yupo kuboresha sela zake za kifedha asipoteze say dunian. USA yupo katika kupambana na lengo la brics wasilete sarafu yao isijewaumiza Europe wao wapo na kulinda uchumi wao (inflation) mfumuko wa bei ni kikwazo kwao lakin hata kule wanakovunia...
  17. Denis Alphonce

    Vita vya Urusi na NATO kupanuka mpaka Afrika Magharibi nani atashinda?

    unaakili inayoangalia upande mmoja Urusi hajakabwa peke yake .The whole Europe haielew nchi zote zina inflation, kati kati zote zina experience negative environmental effects. Mwez mmoja au miwil iliyopita ilibainika kuwa Germany iko kwenye recession, Jana naona Central Bank ya England...
  18. Denis Alphonce

    Urusi kwa sasa ndio nchi yenye uchumi mkubwa Ulaya

    purchasing power parity(PPP) ni kipimo cha economic productivity na standard of living na sio national income Gross domestic product (GDP) ni kipimo cha National income. sasa hapo ni mtu na mtu coz kipimo cha maendeleo ni subjective . kama bado hujaelewa nishtue
Back
Top Bottom