Sijawahi kuona Linchi Kama Hili Akili Hamna, Uhuru hamn doooh Haki ya Mungu Raia Tunaumia sana Ingefaa Kuhama Uraia ningefanya ivyo...Ukiskia kuminya uhuru bx ndio huku...Maafrika meusi ambao kustaaf kwao hadi wafariki Sumaka
Hellow Wandugu!
Poleni na Majukumu ya kutafuta tonge. Moja kwa moja niende kwenye kiini husika bila kupoteza wakati. Mimi ni Kijana Mtanzania Umri Miaka 25+ Nimehitimu Kozi ya Uandishi na Utangazaji wa Habari Mwaka 2019, Ila ni kwa ngazi ya cheti.
Nalijua fika agizo la Serikali kuhusu...
Hellow wadau poleni na majukumu ya kutafuta tonge..
Langu ni moja tu nimekuja nalo hapa mimi ni mtangazaji wa vipindi vya michezo ila nipo kwenye ngazi ya cheti na kutokanana na ugumu wa maisha nilionao siwezi/Sina uwezo wa kuendelea kusoma Diploma kwa sasa.
Nimemaliza Chuo mwaka 2018...
Hello wadau poken kwa majukumu wana jamvi mm ni kijana ninaomba ushauri wenu mzuri wadau ni niashara gani ndogo naweza anzisha kwa mtaji mdgo ea laki 3 au 4 jaman wadau plse ahsanteni
Poleni na kazi wanajamvi mimi shida yangu ni kwamba naumwa sana tumbo kwnye kitovu linavuta kama manati jamani nisaidieni korodani moja imepanda toka muda sasa na sometime nyngne huwa inapandag na kushuka ila kikubwa tumbo linavuta ile mbaya na sinna ata hamu ya chakula nimetumia mizizi ya...
Hello wadau nimwshindwa kudownload gbwhats app new version 2017 nifanyeje jaman naombeni link ya moja kwa moja au mwenye msaada mwingne plssss wadau shukrani
Ww dogo naon umekurupuka ww kwanz jiangalie mm mwenywe IT angalia nisikudukuli kila kitu chako kuanzia humu jf.usitake bifu na IT tz nenda pengne
Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.