Umesema kweli kabisa. Ila usipate stress sana ndugu yangu ........................... Hivi umeshatafakari jinsi nchi yetu inavyoendeshwa katika sekta mbali mbali??? Hii inaonyesha kuwa ACCOUNTABILITY katika idara nyingi au vitengo vingi hapa nchini ni almost 0 ................. CHANGE is...
Hapo kwenye red ............. AiSHIE HAPO HAPO - KUPIGA WIMBO JUKWAANI .............. NEXT TIME ISIWE KUMPELEKEA PARCEL ................. CHONDE CHONDE .............. Dr. Slaa hataki parcels za Magamba kwa sababu.....................................................[anayeweza amalizie] just...
Kwani wewe hujui yaliyompata Marehemu Mwangosi???? Saa ingine inabidi uwatoroke wauaji........ na Mungu ndie
aliyempa huo upenyo ...........police wa TZ kuzingira mwanadamu mwenzao na kumwuua na kusingizia "kitu cha ncha kali
kuwa eti kilirushwa" hawakawii .................. AFADHALI MUNGU KAMPA...
At least WANAONEKANA WAKO SERIOUS ................ sio zile pics za watu wanacheza MDUNDIKO WAMEVAA NGUO ZA
KIJANI NA MANJANO ............
NGOJA NIKASHONE MTINDO HUU WA MAGWANDA ......... UNAPENDEZAJE????????:bounce::bounce:
weka fence ... ndefu ........weka na barbed wire ........ukiunganisha na umeme .......pia waweza weka alarm kwenye milango
yako yote .........unai set ukilala otherwise fuga mbwa ... na pia kabla ya kulala OMBA HIVI>
Katika jina la YESU ... JINA LIPITALO MAJINA YOTE ..... NAIWEKA NYUMBA YANGU...
Kabla ya kuteua .........WATANGAZE NAFASI ZINGINE GAZETINI JAMANI ........... NASISI TU APPLY ......... yaani
sijui NITATEULIWA LINI ???????????????? :biggrin::biggrin::biggrin:
usipate shida ........... dawa ya MDONDO kwa kuku wa kiswahili ni UGORO ...........unawachanganyia kwenye maji
na yule anayeumwa .... unamshika na kumnywesha. Atapona.
Pia anayeumwa mpe dozi ya pilipili .......nzima asubuhi .........nzima mchana .......... na nzima jioni. I tell you within...
mh! mie namsubiria tu 2015 ........... tutakutana tu saloon, supermarket na hata barabarani ........NINA HAMU YA
KUMCHOMEKEA MIMI..................... hasa kwenye chalinze highway ....:msela:
:msela:
:nod::nod::A S thumbs_up: Kweli kabisa ............ hapo kwenye red ............... utamwaona mwanaume MZIMA anaomba omba hela kwa wadada ......... anunuliwe lunch............anunuliwe juice ............ anunuliwe icecream ..'Oh hizi nazipendaga kweli" ... na eti huyo anajiona GENTLEMAN...
He he heeeeeeeeeee MSOMI????? ana usomi gani huyo???? ITAMSAIDIA NINI MTU AKIWA NA ELIMU YA ARDHI AKASHINDWA KUMJUA ALIYEIUMBA ARDHI YENYEWE???
Naomba TUSIMWITE MSOMI ...... tunadhalilisha WASOMI kwa kufanya hivyo ..... BORA KUWA HEKIMA KULIKO VYOTE
hana HEKIMA HUYO NA AMENUNULIWA KIRAHISI...
anayewatetea polisi - asubiri hadi WATAKAPO WATESA .......... NDUGU, JAMAA, RAFIKI AU KAKA AU DADA AU HATA BABA YAKO MZAZI.
Polisi wa Tanzania NOMA sana ................kwanza wengi wao THINKING CAPACITY ZERO KABISA ... wanasingizia sana watu, kazi kuomba rushwa barabarani .............. "...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.